UTAFITI:SIASA na DINI ndio vitu viwili Mtu hayuko tayari Kubadilika hata kama akipewa Ushahidi

MSEZA MKULU

JF-Expert Member
Jul 22, 2011
3,763
5,605
Incorrigibles_brain.jpg

Picha hapo juu inaonyesha Sehemu za Ubongo zinazokuwa active mtu akipewa changamoto za kisiasa.
Incorrigibles_graph.jpg


Watafiti wametoa Matokeo yao Kuhusu Jinsi ambavyo Ubongo wa Mtu aliyejikita kwenye siasa, Hii inajumuisha Taarifa za MPYA kisiasa, Habari FAKE au Za Uhakika za kisiasa, Mambo ya uchaguzi n.k. Kwa utafiti huu umeonyesha Imani za Kisiasa ni Sawa na Imani za kidini.

HIVI NI BAADHI YA VITU VILIVYOGUNDULIKA

1:Imani ya Siasa ya Mtu inapotiwa changamoto, Eneo la Ubongo wake linalokuwa ACTIVE ni lile linalohusika na Utambulisho wa mtu (Personal identity) na lile linalohusiha msisimko wa mtu kukabiliana na vitisho (Emotional responses to threat).

2:Imeonyesha ni Rahisi mtu kubadili msimamo wa kitu kisicho cha kisiasa kuliko Cha kisiasa kama vile kinachohusu chama hata akipewa Ushahidi.
Watu waliofanyiwa utafiti walikuwa tayari kukubali kuwa ALBERT EINSTEIN Hakuwa mwanasayansi Mkubwa alipopewa Ushahidi kuliko Kubadili misimamo yao ya Kisiasa hata walipopewa Ushahidi.

Source:Which brain networks respond when someone sticks to a belief?
 
Siasa na dini kwa pamoja zinaharibu maisha ya binadamu.
ukikuta nchi asilimia 80 siasa inatawala basi kwa mujibu wa hio Makala kwenye link watu wanakuwa na vichwa vigumu (HARDHEADED) hivyo basi hakuna kizuri cha mwenzako mwingine atakipenda hata kama kinaushahidi wa usio tia shaka.
Na ili maendeleo yaje inabidi kuna kipindi mkubaliane kukubaliana au mshawishiane kwa kweli na hoja zenye mashiko na aliyeshindwa kuungana na aliyesahihi. Hii inawezekana kama raia wengi ambao ni Manpower ya taifa kujikita kwenye non-political businesses
 
Mimi kwenye ushabiki wa upenzi wa vile vilabu vyetu vikongwe vya utani wa jadi huwezi kunibadili upenzi kabisaa ila kwa siasa naweza hama mda wowote.
 
Mimi kwenye ushabiki wa upenzi wa vile vilabu vyetu vikongwe vya utani wa jadi huwezi kunibadili upenzi kabisaa ila kwa siasa naweza hama mda wowote.
safi sana, sema inaonekana walishahau kutafiti kuhusu vitu kama simba na Yanga maana mimi siku simba ikifa sifuatilii soccer bongo.
 
mkuu..!

kama kuna picha inayoonesha sehemu ya ubongo inayosababisha mtu kitoaMAPOVU naomba niione tafadhari..

 
Back
Top Bottom