kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,732
HAMNA ANAYEWEZA KUZUIA CHAGUO LA UMMA, lowassa 2015 , JK atake au asitake ni Lowassa kwa tiketi ya ccm 2015
Hatutaki rais wa kulalamika, kulialia
TUNATAKA MCHAPA KAZI, anayeogopwa na maofisaa waandamizi serikali, tunataka mtu wa kuogopwa na WAKURUGENZI WA HALMASHAURI, rais asiyepoteza muda ovyo
Mtu wa kutoa maamuzi magumu
Yaani jinsi mnavyoendelea kumpa chapuo Lowasa mnamuumiza sana NAPE NAUYE kwani anawaza iwapo ni kweli Lowasa atakuwa rais itabidi akimbie nchi je ataishi wapi? na kwa gharama gani?