Utafiti Mpya: Magufuli 82.2%, Lowassa 16%, Wengineo 2%

Utafiti Mpya: Magufuli 82.2%, Lowassa 16%, Wengineo 2%

Tafiti za kupeana kwenye meza zenye glass, viroba & Azam energy drink....
 
Wanaobeza tafiti ni wale wanaweka mabandiko humu ya udaku, uzushi, fitina, ya watu, ya matukio na uchochezi. Huitwa watu wenye "simple" na "average minds".

Pamoja na taarifa ya tafiti hiyo, ukweli unabaki kwamva UKAWA ilianzishwa kuwanufaisha wanasiasa wenye uchu wa madaraka na siyo kwa ajili ya kuipngoza Tanzania kimaendeleo. Ushahidi ni kutokuwepo kikao cha pamoja kujadili matokeo ya uchaguzi, kujipanga upya na/au jinsi kukabiliana na changamoto za Serikali ya Dr Magufuli.

UKAWA wako wapi? Wako mjengoni wakipigania kuoneshwa "live".
 
mmh nasikia bado huyo jamaa bado anawaumiza kichwa sana ccm....ccm walitumia hela nyingi sana kwny uchaguzi na Uncle Magu kakata mirija kabsa...hahahaaa....
 
Back
Top Bottom