Utafiti kuhusu lathe machine na milling machine

Utafiti kuhusu lathe machine na milling machine

The Knowledge Seeker

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2019
Posts
4,214
Reaction score
6,348
Greetings wakubwa na wadogo, na kheri ya mwaka mpya.

Habarini wanajamii. Nimekuja hapa na utafiti wangu mdogo kuhusiana na kuanzisha small workshop yenye mashine hizi mbili ( Lathe Machine na Milling Machine ). Nafikiria kununua zote mbili kwa mpigo au moja wapo kati ya hizo mbili na kama itakuwa ni mashine moja yakuanzia kwangu mimi binafsi ningependelea Lathe Machine ila kuna Mtu alinishauri yeye kama experience technician ( hayuko Tanzanian ) kwamba nivizuri kununua Milling Machine maana inafanya kazi zote zinazofanywa katika Milling Machine yenyewe na kazi zinazofanyika katika Lathe Machine.


Katika kufanya utafiti wangu mdogo humu jamii forum nmeona kuna limited information kuhusu hizi mashine mbili na nikasema nilete huu mjadala hapa nakuuliza maswali mbalimbali yahusuyo hii biashara kwa lengo lakupata maarifa mbalimbali yatakayowezesha uwanzishwaji wa hii workshop, na pia kujua changamoto mbalimbali katika hii jambo.

RAW MATERIALS. Upatikanaji wa raw materials kama zifuatazo ( mild steel, stainless steel, Bronze/ Brass ) na nyinyinezo upoje upoje hasa linapokuja swala lakuchonga au tengeneza parts mpya. Kuna uwingi wa raw materials katika soko pale zinapohitajika.

TECHNICIANS. Uwepo wa wataalamu wenye uwezo wakutumia hizi mashine, kuna uwingi au uchache wao?

PAYMENTS. kwa maana ya ulipwaji wa mafundi na vibarua katika kazi. Na gharama halisi yaku repairs part mbalimbali katika soko

CUTTING TOOLS. kuna maduka yauzayo hizi cutting tools na tools mbalimbali zinazohitjika katika hii kazi

VIBALI. Mchakato wa vibali vya uwanzishwaji wa kampuni ndogo kama hizi na gharama zake

Haya ni maswali madogo na nitakuwa nafanya update yakuongeza maswali pale yanapojitokeza kwenye comment. Na wafuatao nimewatag kutokana wame comment chochote katika post mbalimbali zizungumziazo hizo mashine, nikaona niwa tag hapa pengine watakuwa na chochote chakuchangia hapa. Asante

Picha zifuatazo nikwamsaada wa Google

R276-000.webp
Vertical-Turret-Milling-Machine-3M-4M-5M-6M-.webp

Dennis Robert Shughuru
Ushimen
Teknocrat

Cookie naomba msaada wako wa kurekebishwa kichwa cha habari kisomeke vizuri. Asante
 
Field yangu pia hiyo, kwanza si kweli kwamba milling machine inaweza kufanya kazi zote zifanywazo na lathe, mfano unataka kuchonga shaft yenye urefu wa 2meters, unahitaji lathe yenye bed length ya zaidi ya mita 2, wakati kwenye milling huwezi kufanya turning kama turning, milling kazi zake ni kuchonga gears, kukata key ways, na kufanya boaring kwa baadhi ya vitu(si vyote) mpango wako wa kununua mashine hizo mbili kwa pamoja ni mzuri sana, au bora ununue lathe kwanza maana kuna pia baadhi ya kazi za milling unaweza kuzifanya kwa kutumia lathe, ukishakuwa na hizo mbili utakuwa unadaiwa mashine zingine mbili tu ili workshop yako iweze kujitegemea, utafute stand drill, na shaper, hapo kwisha, baadaye fikiria kununua surfacing machine, tools zinapatikana kwa wingi karibu kwenye miji yote mikubwa, mafundi wapo wa kutosha, materials zipo nyingi kabisa, karibu sana mwekezaji, ukiwa na tatizo lolote kuhusu mambo hayo nicheki, ningependa pia kujua upo mkoa gani(kama ni Tanzania) karibu.
 
Uzuri wake humu jamvin tunao watu wa kila aina, hakuna kitakacho shindikana, hebu waje watoe miongozo!.
 
Field yangu pia hiyo, kwanza si kweli kwamba milling machine inaweza kufanya kazi zote zifanywazo na lathe, mfano unataka kuchonga shaft yenye urefu wa 2meters, unahitaji lathe yenye bed length ya zaidi ya mita 2, wakati kwenye milling huwezi kufanya turning kama turning, milling kazi zake ni kuchonga gears, kukata key ways, na kufanya boaring kwa baadhi ya vitu(si vyote) mpango wako wa kununua mashine hizo mbili kwa pamoja ni mzuri sana, au bora ununue lathe kwanza maana kuna pia baadhi ya kazi za milling unaweza kuzifanya kwa kutumia lathe, ukishakuwa na hizo mbili utakuwa unadaiwa mashine zingine mbili tu ili workshop yako iweze kujitegemea, utafute stand drill, na shaper, hapo kwisha, baadaye fikiria kununua surfacing machine, tools zinapatikana kwa wingi karibu kwenye miji yote mikubwa, mafundi wapo wa kutosha, materials zipo nyingi kabisa, karibu sana mwekezaji, ukiwa na tatizo lolote kuhusu mambo hayo nicheki, ningependa pia kujua upo mkoa gani(kama ni Tanzania) karibu.
Ndugu Asante kwa maoni yako. Uko sawa ulipotoa mfano ya shaft yenye urefu wa meta 2, ila sio vitu vyote vyaweza fanyika katika Milling machine, maana kila machine inakuna na exception zake.

Unaposema kununua Lathe hapa naomba ushauri wako maana wewe ndio uko katika hiyo field na experience unayo. So mostly ya kazi nyingi katika mazingira yako yanafanyika katika lathe sana na uchache katika Milling sio?

Stand drill sawa inaumuhimu wake ila fo far tukitumia hata Milling machine tunaweza fanya kazi hiyo kama itanunulika pamoja na Lathe machine. Shaper ndio ni wazo zuri pia Asante

Kuhusu mkoa nafikiria kufungua workshop hii kanda ya kaskanzini..

Changamoto katika hii biashara ni zipi, na ofisi yako iko mkoa gani au kanda gani?

Asante
 
Ndugu Asante kwa maoni yako. Uko sawa ulipotoa mfano ya shaft yenye urefu wa meta 2, ila sio vitu vyote vyaweza fanyika katika Milling machine, maana kila machine inakuna na exception zake.

Unaposema kununua Lathe hapa naomba ushauri wako maana wewe ndio uko katika hiyo field na experience unayo. So mostly ya kazi nyingi katika mazingira yako yanafanyika katika lathe sana na uchache katika Milling sio?

Stand drill sawa inaumuhimu wake ila fo far tukitumia hata Milling machine tunaweza fanya kazi hiyo kama itanunulika pamoja na Lathe machine. Shaper ndio ni wazo zuri pia Asante

Kuhusu mkoa nafikiria kufungua workshop hii kanda ya kaskanzini..

Changamoto katika hii biashara ni zipi, na ofisi yako iko mkoa gani au kanda gani?

Asante
Nashindwa kukupata pm mkuu
 
Field yangu pia hiyo, kwanza si kweli kwamba milling machine inaweza kufanya kazi zote zifanywazo na lathe, mfano unataka kuchonga shaft yenye urefu wa 2meters, unahitaji lathe yenye bed length ya zaidi ya mita 2, wakati kwenye milling huwezi kufanya turning kama turning, milling kazi zake ni kuchonga gears, kukata key ways, na kufanya boaring kwa baadhi ya vitu(si vyote) mpango wako wa kununua mashine hizo mbili kwa pamoja ni mzuri sana, au bora ununue lathe kwanza maana kuna pia baadhi ya kazi za milling unaweza kuzifanya kwa kutumia lathe, ukishakuwa na hizo mbili utakuwa unadaiwa mashine zingine mbili tu ili workshop yako iweze kujitegemea, utafute stand drill, na shaper, hapo kwisha, baadaye fikiria kununua surfacing machine, tools zinapatikana kwa wingi karibu kwenye miji yote mikubwa, mafundi wapo wa kutosha, materials zipo nyingi kabisa, karibu sana mwekezaji, ukiwa na tatizo lolote kuhusu mambo hayo nicheki, ningependa pia kujua upo mkoa gani(kama ni Tanzania) karibu.
Najazia nyama..

Hata hivo milling kazi zake ni chache kupatikana tofauti na lathe, pia ghalama za manunuzi, uendeshaji na vipuli lathe ni easier.

Kama anataka workshop ya maana bora angechukua Lathe machine. mashine ya kuchonga crank shaft, mashine ndogo ya kuchonga block(ile yakuneba na kuikalisha juu ya blick) na mashine ya kusurface cylinder head.

Nimefanya hizo kazi muda wa miaka kama mitatu nikiwa na mzee wangu (ana work shop kama hiyo). Its very productive na kazi zinajileta zenyewe.
 
Back
Top Bottom