Jenerali Ambamba
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 3,344
- 2,537
Utafiti unaonyesha kuwa Chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) ndicho chama kinachotajwa sana katika mitandao ya kijamii, Vyombo vya habari, na wananchi mbali mbali, si na wana-Chadema pekee bali hata Wana-CCM.
Utafiti pia unaonyesha kuwa kati ya watu kumi, 7 ni wana-Chadema, 3 ni wana CCM.
Utafiti vile vile umebaini kuwa kati ya wanawake 10, 6 ni wana-CCM na 4 ni wana-chadema.
Imebainika kuwa wananchi wa vijijini waliohojiwa 10 wamesema wanaijua chadema.
Kati ya wananchi 10 waliohojiwa 7 wamesema hawaridhishwi na Chama cha Mapinduzi.
Kati ya 10 waliohoiiwa 8 wamesema wanataka mabadiliko.
Aidha:--kati ya wananchi 10 waliohojiwa wa mijini wote wamesema wanajua -Ukawa nini, ila kwa vijijini 5 kati ya kumi wamesema hawajui maana ya ukawa na 5 wengine wamesema wanaisikia sikia tu.
Note: Utafiti huu utatangazwa rasmi na Taasisi husika.
Utafiti pia unaonyesha kuwa kati ya watu kumi, 7 ni wana-Chadema, 3 ni wana CCM.
Utafiti vile vile umebaini kuwa kati ya wanawake 10, 6 ni wana-CCM na 4 ni wana-chadema.
Imebainika kuwa wananchi wa vijijini waliohojiwa 10 wamesema wanaijua chadema.
Kati ya wananchi 10 waliohojiwa 7 wamesema hawaridhishwi na Chama cha Mapinduzi.
Kati ya 10 waliohoiiwa 8 wamesema wanataka mabadiliko.
Aidha:--kati ya wananchi 10 waliohojiwa wa mijini wote wamesema wanajua -Ukawa nini, ila kwa vijijini 5 kati ya kumi wamesema hawajui maana ya ukawa na 5 wengine wamesema wanaisikia sikia tu.
Note: Utafiti huu utatangazwa rasmi na Taasisi husika.