Utafiti: CHADEMA ndicho chama kinachotajwa sana

Utafiti: CHADEMA ndicho chama kinachotajwa sana

Jenerali Ambamba

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2014
Posts
3,344
Reaction score
2,537
Utafiti unaonyesha kuwa Chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) ndicho chama kinachotajwa sana katika mitandao ya kijamii, Vyombo vya habari, na wananchi mbali mbali, si na wana-Chadema pekee bali hata Wana-CCM.


Utafiti pia unaonyesha kuwa kati ya watu kumi, 7 ni wana-Chadema, 3 ni wana CCM.


Utafiti vile vile umebaini kuwa kati ya wanawake 10, 6 ni wana-CCM na 4 ni wana-chadema.

Imebainika kuwa wananchi wa vijijini waliohojiwa 10 wamesema wanaijua chadema.

Kati ya wananchi 10 waliohojiwa 7 wamesema hawaridhishwi na Chama cha Mapinduzi.

Kati ya 10 waliohoiiwa 8 wamesema wanataka mabadiliko.

Aidha:--kati ya wananchi 10 waliohojiwa wa mijini wote wamesema wanajua -Ukawa nini, ila kwa vijijini 5 kati ya kumi wamesema hawajui maana ya ukawa na 5 wengine wamesema wanaisikia sikia tu.

Note: Utafiti huu utatangazwa rasmi na Taasisi husika.
 

Attachments

  • attachment-9.jpeg
    attachment-9.jpeg
    15 KB · Views: 1,156
Si kweli kabisa!
naamini CCM inaongoza kwa kusemwa au kutajwa. nasema hivyo kwa sababu kila siku kila mtu anaitaja kwa kulalamikia serikali ya CCM.
Mawaziri na viongozi wote kila siku wanaitaja kwa kusifia ilani ya CCM bila kusahau mabalozi na wahisani
WAPINZANI kila siku wanaitaja CCM na kutafuta minu za kuing'oa CCM madarakani.
Wanafunzi na wanakwaya TV na Maredioni wanaimba kuisifu ama kuishukuru serikali ya CCM. Wagonjwa, maskini, vijana wasio na ajira kila siku huitaja CCM.
Mambo na sababu ni nyingi mno zinazopelekea kutajwa kwa CCM ama kwa mema au mabaya hivyo usitudanganye. Labda kama unasema ni chama gani unahisi kinasifiwa au vipi.
 
Nikweli kunakijiji Fulani kipo singida yani kilekijiji watuwake ni maskini wakutupwa na Huduma za jamii hamna wanatembea zaidi ya kilomita 45 kufuata Huduma kijiji kingine lakini chakushangazakila kibanda ukipita kuna bendela ya chamachamajambazi inapepea watu wamevaa cape na t-shert .ccm zambi hiyo yakumtaka MTU siku yakupiga kura na kumwacha mtahukumiwa karibuni
 
hata Shetani huwa anatajwa sana kwenye nyumba za Ibada
 
Pia kuna utafiti mwingine unasema Wachagga + Wapemba = UKAWA
 
Nimesahau, Utafiti pia unaonyesha kuwa---CCM imepoteza umaarufu na imani kwa wananchi, kati ya watu 10,9 wamesema hawana imani kabisa na CCM.

huo utafiti nadhani utakuwa umewahoji familia ya Dr Slaa na Mbowe tu
 
Jmaa wa chadema wanatamani huo utafiti ndo ungekuwa unatumika kumpata Rais wa nchi, hakika wangechinja Ndafu leo hii.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom