Hili lina leta madhara mengi katika jamii hasa kwa watoto bila kua recognised kisheria, pale baba anapo kufa, pili kuongeza single maza, 3. Kusambaza magonjwa hatare kama ukimwi 4. Family violence pia inatokana na wanandoa kutoaminiana.Utafiti ulio fanywa na shirika la uganda Christian net work aid katika eneo la Africa mashariki limetoa matokeo ya utafiti wao kwamba 70% ya wana ndoa ya kikuristo kazini ukilinganisha na 10% ya wana ndoa ya dini zingine, je hili limetokana kwa sababu kuu mbili 1. Ukristo kuona zina kama sio dhambi kubwa kwao 2. Kuoa mke moja monogamy.
View attachment 2696747
Mkuu utafiti tafadhari "no research no right to talk"......hapa mada haina uhusiano na uislamu tafadhari.Mpaka kuongeza mke kama wanaume tulivosema lazima kuwa na ng’ombe,mbuzi,kuku,samaki wote kupata radha .
Ila sio wa kristo tu hata waislamu ndio wamezidi maana ulevi wao ni uzizi sio pombe
Mkuu utafiti tafadhari "no research no right to talk"......hapa mada haina uhusiano na uislamu tafadhari.
Kwani wakiristo hawa towi talaka mbona wengu huoa na kuachana, tafuta sababu nyingine ya mashiko sio hiyo.Wanaume kuchepuka sawa.ila uzizi kwa wakristo ujulikana sababu hauruhusu kuwa na mke zaidi ya mmoja.
Ndio maana inaonekana ni habari kubwa.
Kwa waislamu unaweza kuoa na kuacha sababu inaonekana ni maandiko ndio maana sio habari kwa ukilinganisha
Paulo alizingua sana alipoleta like kifungu Cha mke mmoja,Utafiti ulio fanywa na shirika la uganda Christian net work aid katika eneo la Africa mashariki limetoa matokeo ya utafiti wao kwamba 70% ya wana ndoa ya kikuristo kazini ukilinganisha na 10% ya wana ndoa ya dini zingine, je hili limetokana kwa sababu kuu mbili 1. Ukristo kuona zina kama sio dhambi kubwa kwao 2. Kuoa mke moja monogamy.
View attachment 2696747
Kwani wakiristo hawa towi talaka mbona wengu huoa na kuachana, tafuta sababu nyingine ya mashiko sio hiyo.
Unafiki ndani ya Ukristo ni wakutishaipo sababu ya kisayansi, sema ndo hivyo watu wanachukulia poa
Siyo kawaida/sheria mkristo kutoa talaka.Usanii wa wahuni kubadili/kuhalalisha sheria ndiyo umetufukisha hapa.Kwani wakiristo hawa towi talaka mbona wengu huoa na kuachana, tafuta sababu nyingine ya mashiko sio hiyo.
Haijalishi ni ngumu au nyepesi swali ni kwamba je hawaachani?Unajua taratibu za ukristo au umesikia
Kwa hizo hoja zako sidhani kama hata hiyo ripoti umeisoma na kuielewa. Wameongelea wana ndoa, weww umewarukia wanaume na habari za kuoa mke mmoja.Utafiti ulio fanywa na shirika la uganda Christian net work aid katika eneo la Africa mashariki limetoa matokeo ya utafiti wao kwamba 70% ya wana ndoa ya kikuristo kazini ukilinganisha na 10% ya wana ndoa ya dini zingine, je hili limetokana kwa sababu kuu mbili 1. Ukristo kuona zina kama sio dhambi kubwa kwao 2. Kuoa mke moja monogamy.
View attachment 2696747
Mkuu fanya utafiti wakwako usidandie wawezako, kwa taarifa yako kwenye utafiti kuna sampling quotas na percentage, idadi ya watu haithiri matokeo yoyote, wewe pinga kwa data sio kwa maneno matupu.Kwa hizo hoja zako sidhani kama hata hiyo ripoti umeisoma na kuielewa. Wameongelea wana ndoa, weww umewarukia wanaume na habari za kuoa mke mmoja.
Utafiti umefanyika Uganda. Je unajua ni dini ipi ni dominant kule hata uanze kufananisha Ukristo na dini nyingine? Huo utafiti ulifaa kusema waganda kulikobWakristo.
Pili Waganda pamoja na kuwa na dini pia wana traditional life ambayo ipo very strong kwenye jamii zao na wanaziishi, hawakuwahi kuziacha.