bribrii
Senior Member
- Jan 25, 2014
- 110
- 21
Hapo anajenga mazingira ya wewe kuongeza upendo wala hata usiogope mwaya... mkaka wa watu anakupenda.
kwan unaongea na mtoto wa chekechea hapo??naye anahtaji kuthamniwa na kuwa cared by mpenz wake...mwaya mchane live kwanza.akufungukie may b kashapata kpya,na kpya knyem.so ongea nae na s kwa smu....akzngua kama hamna changes tupa kuleeee