Utafanyaje?

Utafanyaje?

Kama tatizo halina muda mrefu inawezekana anataka kujua iwapo unaweza kuhimili misukosuko, au wewe ni m2 wa kulaumu na kususa. Bado unaweza kutafuta namna ya kuongea ana kwa ana na kumweleza unavyoathirika na mabadiliko hayo.
 
Time to leave hun. You have to know when love is over, and learn to carry on.
 
Sasa bila mtu kuongea atasema vipi kwamba hamtaki ye asubili tu kuambiwa bwana

Wengine hawaongei....

Yeye kama anaweza afunge safari hadi kwa jamaa akaongee nae ana kwa ana ajue moja..
 
Jitahidi na wewe uwe busy, usimpigie wala kumtumia sms ukiisha mwezi hajakutafuta uje ulishaachwa, akikupigia mara ya kwanza usipokee simu mpaka apige kama mara mbili hivi pokea, akikuuliza mbona hujapokea mjibu ulikuwa busy, akituma sms usijibu kabisa. anza kumsahau kubali haikupangwa uwe nae mda mrefu, jiambie alikuja kukupa somo nakuondoka, wa kwako yupo anakuja
 
Hilo tatizo hata mimi ninalo(ingawa mimi ni me) cha msingi ni kuachana naye na kuishi maisha yako tu.

Mapenzi hakuna hapo..pole anza kumsahau kuanguka hakumaanishi hutosimama tena.

Ataanzaje? Kama anampenda kweli sio rahisi kumsahau kirahisi ivo...pole dada mapenzi yanauma vibaya
 
Kama tatizo halina muda mrefu inawezekana anataka kujua iwapo unaweza kuhimili misukosuko, au wewe ni m2 wa kulaumu na kususa. Bado unaweza kutafuta namna ya kuongea ana kwa ana na kumweleza unavyoathirika na mabadiliko hayo.

ukisikia kizazi cha kutestiana ndo hichi.yaani nahisi kwa hii ya mpenzi kufanya ki2 et anatest mwenzie atachukuliaje itafikia unamfumania anasema nilikuwa 2 nakutest baby kama utareact vipi.khaa! .
 
I wonder kwani mmefunga ndoa?,kama ni just a lover, dis shit happen,be bold n move on na maisha yako!
 
Habarini za mida hii wandugu.Mwanzoni mpnz wangu alikuwa ananijali,tunasaidiana ktk mambo mbalimbali,tunapeana ushauri,but inakuja kutokea kuwa mambo yamebadilika,mawasiliano yanapungua,hanipigii cm had nimpigie,nikimtumia sms hajibu inapita had siku nne kimya,ikatokea nna shda namwambia anakaa kimya hajibu,nikimuliza kama kuna tatizo anasema hakuna shida yoyote,yupo bize tuu.nashindwa kuelewa nifanyeje,na nini kimemsibu,naombeni ushauri wenu.
Babycute, mapenzi huwa ni ya wawili maneno na ushauri wa watu ni sumu ya mapenzi, hakuna anayemjua huyo mpz wako vizuri na kujua nini tafsiri sahihi ya hayo anayokufanyia wewe,mi mwenyew nina gel wangu nlikua nawasiliana nae sana, sometimes tulikua tunaongea kwa simu mpaka asubuhi, mambo yalibadilika kutokana na majukumu yangu kubadilika, ikawa ni kesi, akapata washauri wasiojua sababu wakamshauri haya unayoshauriwa akaanza kiburi but still nampenda, ila siwasiliani nae kama zamani, tukiongea kwa simu anasema watu wamemwambia nina mwanamke mwingine ndo maana simpigii simu kama zamani ila ukweli kutoka moyoni sivyo ilivyo, So Jiamini mamii wewe ndio mpenzi wake unless akuambie hakutaki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom