Kama uliona mkuuYANGA ANAWEZA KUSHINDA HII MECHI AMA DRW ...
WEKA NA WAKO ...
MOAKA.SASA.KAMATI YA UFUNDI.SIMBA INAPAMBANA KUONA.MVUA.INANYESHA ELSE HALI ITAKUWA TETE KWA SIMBA
WACHEZAJI HAWA WANAWEZA KUFUNGA MAGOLI
YANGA
MORRISON
TSHISYSHIMBI
NCHIMBI
MOLINGA
NAONA PENALLTY SIJAJUA UPANDE GANI
WAFUNGAJI SIMBA
DEO.K
SHIHATA..
KAMA N PENALTY ITATOKEA BASI KAGERE NDIO ATAFUNGA ELSE HATOFUNGA KABISA
MASHABIKI WA YANGA MUWE NA AMANI MPAKA SASA DRW NDIO WANATAFUTA SIMBA ELSE NW MNYUKOO
WAZEE WA KUBET ANGALIKO HIVI
Kuwa mpole dakika 90 bado
Jr
@mshana Jr Fanya kama unanipa matokeo huku ukirejea utabiri wakoomba Mungu usije ukafuta hii reply... SHIMBA atatawala mchezo mwanzo mwisho na magoli atafunga ya kutosha... In fact anaenda kuweka rekodi mpya kulingana na utabiri
Jr
Vipi hapa?naaangalia mechi ya Yanga na Mbao,ni vituko vitupu. Yanga inaingia mara 3 kwa Namungo. sijui jeuri ya kupambana na Mnyama wanatoa wapi
Vipi mlivyochemka?Kwa Mechi ya Jana ya Azam na Simba, utabiri huu umekamilika Kwa asilimia 80.
Kama Azam amemchapa Yanga goli Moja Kwa
Simba kamchapa Azam ambaye ni mbabe wa Yanga 3-2
Hapa Kwa Hitimisho la Kimantiki,
Yaani Logical Conclusion.
Bila hata kuhusisha nguvu za Unajimu.
Kwa kiwango cha chini kabisa,
Simba atamfunga Yanga goli 2-0
Yaani Azam kamfunga yanga goli 1+ magoli ya Simba aliyomchapa Azam ambayo ni 3.
1+3 =4
4- 2 ambazo ni goli za Azam kamfunga Simba = 2.Goli atakazo fungwa Yanga na Simba kwa kiwango cha chini.
Hivyo matokeo ya kiwango cha chini ni 2-0, 3-1, 4-2.nk
In favour of Simba SC.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshana Ndio umesababisha Yote Haya Kujitangazia Ushindi Kama Maalim seif Kabla Ya Dakika 90
Dah nitalewa leo Dadeki I hate my self
Sent using Jamii Forums mobile app