Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
Wakuu nimetafakari maneno yanayo zagaa kumkashifu TB Joshua kuwa utabiri wake kuwa mshindi wa kura za urais Marekani ni mwanamke ila kwa kura chache na kushangaa kuwa mbona alichosema ni kweli.
Hillary Clinton; 59,938,290. sawa na 47.7%.
D. Trump; 59,704,886. sawa na 47.5%
Hiyo maana yake ni kuwa kwa kutumia kigezo cha kura Hillary Clinton ndiye mshindi kwa kuchaguliwa na raia wengi wa Marekani.
Lakini kwa mfumo ule wa kura maalum 270 ambao haupo pengine popote duniani hapo ndipo walipo mteua D.Trump kwa kupata 290 dhidi ya Clinton aliyepata 232.
Utabiri wa Joshua sio wa kubezwa na kukashifiwa maana kwa idadi ya kura zaidi ya laki mbili Clinton kashinda na ndio maana hata raia wa US wanaandamana kwa Mara ya kwanza kupinga mfumo huo wa kura maalum 270.
Utabiri wa TB Joshua ulikuwa sawa
Hillary Clinton; 59,938,290. sawa na 47.7%.
D. Trump; 59,704,886. sawa na 47.5%
Hiyo maana yake ni kuwa kwa kutumia kigezo cha kura Hillary Clinton ndiye mshindi kwa kuchaguliwa na raia wengi wa Marekani.
Lakini kwa mfumo ule wa kura maalum 270 ambao haupo pengine popote duniani hapo ndipo walipo mteua D.Trump kwa kupata 290 dhidi ya Clinton aliyepata 232.
Utabiri wa Joshua sio wa kubezwa na kukashifiwa maana kwa idadi ya kura zaidi ya laki mbili Clinton kashinda na ndio maana hata raia wa US wanaandamana kwa Mara ya kwanza kupinga mfumo huo wa kura maalum 270.
Utabiri wa TB Joshua ulikuwa sawa