Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,139
- 12,284
Sijui kwaanini wakati mwingine nikimkumbuka huyu vise president Riek Machar aliyeondolewa namkumbuka bwana Zito...It happens!
South Sudan imeingizwa East Africa hivi majuzi na nchi za burundi na Rwanda...East africa ni Kenya, Uganda, Tanzania, Burundi, Rwanda, na South Sudan....
Utabiri wa T.B Joshua ulisema kuwa kuna rais mmoja wa E.Africa atatekwa nyara na magaidi halafu kutakuwa na kilabu ambacho kitalepuliwa na bomu, jambo ambalo halijatokea...Soma hio stori ya utabiri hapa>>>UTABIRI WA KUTISHA: Rais Mmoja Wa Afrika Mashariki Atatekwa Nyara - bkuHABARI
Lakini sijui ni kweli maana utabiri huja na ndoto na haiwezi kuwa perfect, lazima kuwe na utofauti fulani katika ndoto kama hio
Kwa hiyo macho yako yapo masikioni kwa sababu ni very close to masikio..!
Hivi huyu TB Joshua na Babu wa Loliondo nani zaidi?
Tulishawaambia kuwa huyo Tb ni tapeli wa kutupwa achaneni naye mbona wagumu kuelewa? unabii gani unapindishwapindishwa ili kukidhi matakwa ya mtabiri?
Hivi huyu TB Joshua na Babu wa Loliondo nani zaidi?
Nafkiri sasa utaenda kanisani kwa sababu hawa wanaenda ni bora utafute sababu nyingine ya kutokwenda kanisani kuliko kuwa na sababu ya kipuumbavu kiasi hicho.
Kama angeenda kwa waganga wa kienyeji kama utamaduni wa viongozi wengi wa afrika ungemuona mjanja??
usiwe kama zezeta unapeleekwa kama punda asie na maamuzi binafsi yenye mantiki kama wamagharibi hawaendi hivyo nawewe huendi kanisani hivi wewe kwanza jinsia gani mbona hujionei hata aibu mwanaume mzima unaendeshwa na wanaume wenzako mke na watoto wako wanatabu kweli??
Yani Rais anayo imani na Mungu wake alieumba mbingu na nchi na vyote we unampangia ila yawezekana wewe ni giza na nuru inakuumbua.