Utabiri wa T. B Joshua Sudan Kusini

Utabiri wa T. B Joshua Sudan Kusini

Hahaha, kuna thread iliwekwa hapa awali kuhusu huu utabiri.

Mimi nikatabiri kwamba utabiri usipotimia watu watasingizia maombi.

Utabiri wangu umetimia.

Wa Joshua haujatimia.

hee hee mambo ya dini hayo na wachungaji wao..
 
Hahaha, kuna thread iliwekwa hapa awali kuhusu huu utabiri.

Mimi nikatabiri kwamba utabiri usipotimia watu watasingizia maombi.

Utabiri wangu umetimia.

Wa Joshua haujatimia.

Kwanini unasema "wangesingizia"?
 
Kwanini unasema "wangesingizia"?

Watasingizia, sio wangesingizia.

Kwa sababu hii ni pattern katika tabiri za kidini zinazoendana na waumini wanaopata muda mgumu baada ya manabii wao kushindwa, it is a "cognitive dissonance" type of thing.

Kuna mtu alishatabiri mwisho wa dunia, akawaambia waumini wauze mashamba na kila mali yao watoe sadaka, siku iliyotabiriwa ilipopita dunia haijaisha, watu wakasema mungu kaahirisha kwa sababu ya maombi.

By that standard anyone could pull any type of hocus pocus stunt and call himself a prophet.

Natabiri kuna kimondo kitaipiga dunia kesho, tuombe ili mungu atunusuru. Hili hapa kapu la sadaka, wekeni hela zenu zote mungu afurahi atuepushe.

Halafu kesho kimondo kisipotokea explanation ni "maombi yenu mungu kayasikia, bwana asifiwe"

Check out "When Prophecy Fails"

http://en.wikipedia.org/wiki/When_Prophecy_Fails

Wajinga ndio waliwao.
 
Hivi huyu TB Joshua na Babu wa Loliondo nani zaidi?
 
Nyie mnaojifanya wajuaji na kupinga kila kitu kuna siku mtajutia kauli zenu!! kulikuwa na wabishi kuliko ninyi lakini wameishia kutubu!! Fanyeni uchunguzi kwanza! "NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK"
 
Nyie mnaojifanya wajuaji na kupinga kila kitu kuna siku mtajutia kauli zenu!! kulikuwa na wabishi kuliko ninyi lakini wameishia kutubu!! Fanyeni uchunguzi kwanza! "NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK"
Nyie mnao kubali kila kitu maanayake hamuwezi ku reason! Babu akija na kikombe mumo, joshua mumo, na akija mwingine akisema mwisho wa dunia kesho, utoe malizako zote kama SADAKA .......
 
Nyie mnaojifanya wajuaji na kupinga kila kitu kuna siku mtajutia kauli zenu!! kulikuwa na wabishi kuliko ninyi lakini wameishia kutubu!! Fanyeni uchunguzi kwanza! "NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK"

Kwani kumpinga T.B Joshua ni dhambi?
 
Hahaha, kuna thread iliwekwa hapa awali kuhusu huu utabiri.

Mimi nikatabiri kwamba utabiri usipotimia watu watasingizia maombi.

Utabiri wangu umetimia.

Wa Joshua haujatimia.

Mkuu inabidi na wewe uanzishe kanisa, si unaona jamaa jinsi anavyokula vichwa.
 
Kwani kumpinga T.B Joshua ni dhambi?

Kumsema vibaya mtu yeyote katika anachokisema bila ya wewe kuwa na vithibitisho kinyume na asemacho ndio unatupa mashaka kwamba hujafanya research yoyote njoo na vithibitisho vingi ndio um-prove wrong!
 
Nyie mnao kubali kila kitu maanayake hamuwezi ku reason! Babu akija na kikombe mumo, joshua mumo, na akija mwingine akisema mwisho wa dunia kesho, utoe malizako zote kama SADAKA .......

Hongera yako! siyo ku reason tu kwa kuangalia fanya uchunguzi uje na vitu!!
 
Ni imani yako tu. Ukiamini fresh, usipoamin poa. Kila mtu atabeba mzigo wake
 
Mkuu inabidi na wewe uanzishe kanisa, si unaona jamaa jinsi anavyokula vichwa.

Hahahaha, umedata.

Tatizo sitaki kuwa "Ganga Ongo".

Kula vichwa hata mdogomdogo kwenye professions zetu tutakula tu, honestly.
 
South Sudan imeingizwa East Africa hivi majuzi na nchi za burundi na Rwanda...East africa ni Kenya, Uganda, Tanzania, Burundi, Rwanda, na South Sudan....
Utabiri wa T.B Joshua ulisema kuwa kuna rais mmoja wa E.Africa atatekwa nyara na magaidi halafu kutakuwa na kilabu ambacho kitalepuliwa na bomu, jambo ambalo halijatokea...Soma hio stori ya utabiri hapa>>>UTABIRI WA KUTISHA: Rais Mmoja Wa Afrika Mashariki Atatekwa Nyara - bkuHABARI
Lakini sijui ni kweli maana utabiri huja na ndoto na haiwezi kuwa perfect, lazima kuwe na utofauti fulani katika ndoto kama hio
 
[h=3]OUTH SUDAN PRESIDENT SENDS TO TB JOSHUA TO PRAY FOR PEACE[/h]


Like in a carnival, with thousands of people singing and dancing, and hundreds of flags from different countries flying across the fully packed auditorium, the President of Malawi, Joyce Banda and husband, on Sunday worshipped at the Synagogue Church of All Nations, SCOAN, in Ikotun area of Lagos, western Nigeria.

p1190751_bearbeitet.jpg


Going by her strong and long applause, Banda seemed to have been well entertained by a professional South African opera singer, Kimmy Skota, who rendered a moving song (Pie Jesu – Merciful Jesus) after telling the crowd that she was recently delivered by the Synagogue church in London.

Onazi Ogenyi, a professional soccer star with Lazio Football Club in Italy also entertained the huge and multi-racial worshippers with his keyboard. The dancing and singing were relayed live on Emmanuel Television and beamed on over 50 screens in the expensively built church.

Malawi’s first couple was formally welcomed into the church by Prophet T.B. Joshua, the founder of SCOAN. TB Joshua also announced the presence of a delegation from President Salva Kiir of crisis-ridden South Sudan, who to receive prayers for peace. The Malawi first couple arrived the church as early as 8.30 a.m. with their entourage of about ten persons, but it was not until 12.34 p.m. that T.B. Joshua made his first appearance in the church and promptly introduced the president and her husband. By that time, Banda had taken her first break at 11.43 a.m., having waited for over three hours.
president-salva-kiir.jpg
President Salva Kiir

While her husband appeared very fit and remained standing, even dancing during hours of praise and worship songs, Banda stood up and sat down several times and remained seated much of the time.

But the carnival like church service turned grim when T.B. Joshua began unveiling his prophecies for the year 2014. The man in the Synagogue, as T.B. Joshua is known said 2014 will be a hard year with many African banks and airlines closing shop. He said there will not be enough money to sustain many banks and many planes will get damaged and there will not be enough money to buy new ones. “There will be more demand than supply,” he said. He said the year 2014 will be like a bridge where many will fall off and some will cross it with ease.

He said it will be a very difficult year for the wicked but those who do good and serve Jesus will be fulfilled. “There will be a lot of challenges for the mighty and powerful next year,” he said, adding that “2014 is a year of bridge. It’s a year of destiny”. He said those involved in farming will have a great year even though money will be scarce and hardship will expand. By the time he was done with ministering to attend to about 3000 people who came for healing and miracles, Banda and her entourage took their second break 2.18 p.m.

For the next three hours, T.B. Joshua was performing healing and miracles on thousands of people on the prayer line. At 6.20pm, Banda returned to the auditorium, with two bodyguards. Banda and husband arrived Nigeria two days ago for prayers in the church of a man she describes as her “spiritual godfather”. The Malawi first couple will return home Monday.
 
ni aibu isiyo kifani kwa kiongozi wa kitaifa kufanya huo ujinga. huko ulaya kwenyewe waliotuletea hii dini hawaendi huko makanisani kuomba. angalia yanayotokea ugiriki, ureno na mpaka hata italy makao makuu ya katoliki akina belasconi hawafanyi huu ujinga. ila kwa wapuuzi wa kiafrika inawezekana.
 
hii dini ya hawa ndugu zetu imegeuzwa kama ze komedi
 
ni aibu isiyo kifani kwa kiongozi wa kitaifa kufanya huo ujinga. huko ulaya kwenyewe waliotuletea hii dini hawaendi huko makanisani kuomba. angalia yanayotokea ugiriki, ureno na mpaka hata italy makao makuu ya katoliki akina belasconi hawafanyi huu ujinga. ila kwa wapuuzi wa kiafrika inawezekana.

Kama angeenda kwa waganga wa kienyeji kama utamaduni wa viongozi wengi wa afrika ungemuona mjanja??

usiwe kama zezeta unapeleekwa kama punda asie na maamuzi binafsi yenye mantiki kama wamagharibi hawaendi hivyo nawewe huendi kanisani hivi wewe kwanza jinsia gani mbona hujionei hata aibu mwanaume mzima unaendeshwa na wanaume wenzako mke na watoto wako wanatabu kweli??

Yani Rais anayo imani na Mungu wake alieumba mbingu na nchi na vyote we unampangia ila yawezekana wewe ni giza na nuru inakuumbua.
 
Haya wale waliokuwa wakiupinga ule unabii wakamwita tapeli waje wathibitishe.

Sikia wewe hakuna kipya paleleo hii mi naweza kusema ,natabili mojawapo ya nchi za ulaya itatokea shambulio la kigaidi kabla ya mwez wa sita' unadhan halitokea hadi mwez was ita??.hivi mtu kusema mabenki yatafiriska,kutakuwa na uhba wa pesa africa mbna hayo ni matatizo yetu hata mwaka huu yametokea.muulize gavana benki kuu ama serikal mishahara ya december iko wapi.utabili hauko hivo anacheza na hisia zenu tu mnaoshobokea mambo hayo ya utapeli.anaangalia jamiii inawakati gan na matatizo gani kisha anatabili.

Kwan mi nnikitabili mwaka huu kutokea mgogoro wa kisiasa katka nchi mojawapo a.mashariki hautatokea??,hadi december??,ama kwamba mwanasiasa maarufu atafariki haita tokeea,acheni kuwa kama watu ambao hamkwenda shule kabisa yaan,da??kiranga njoo uwaelimishe hawa
 
ni aibu isiyo kifani kwa kiongozi wa kitaifa kufanya huo ujinga. huko ulaya kwenyewe waliotuletea hii dini hawaendi huko makanisani kuomba. angalia yanayotokea ugiriki, ureno na mpaka hata italy makao makuu ya katoliki akina belasconi hawafanyi huu ujinga. ila kwa wapuuzi wa kiafrika inawezekana.

second%20preach.jpg



George-W-Bush-Observes-Na-006.jpg


vladimir-putin-2010-1-7-8-11-50.jpg


sarkozys-a23.jpg



Silvio-Berlusconi-attends-007.jpg


Nafkiri sasa utaenda kanisani kwa sababu hawa wanaenda ni bora utafute sababu nyingine ya kutokwenda kanisani kuliko kuwa na sababu ya kipuumbavu kiasi hicho.
 
Back
Top Bottom