Jidu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 1,232
- 754
Leo mamlaka ya hali ya hewa imetangaza kuwa mvua zitaanza kunyesha wiki ya pili ya mwezi huu.na pia kuzungumzia upatikanaji wa umeme kwa mvua kujaza mabwawa.hii mamlaka imekuwa msemaji wa tanesco siku hizi?yenyewe badala ya kujikita kwenye utabiri kiujumla wanatumia muda wote kuzungumzia upatikanaji wa umeme.kwanza tabiri zao zinakuwaga za kimagumashi.yetu macho juma lijalo sio mbali