Mtoto wa Nyerere
Senior Member
- May 21, 2021
- 129
- 688
Hii kombe uwa halibebwi na mtu anayeenda faina kwa Mara ya kwanza kama kuna timu ilitoke ikafanya hivyo karibuni nikumbushwe ila ukweli mchungu hata Chelsea walipoingia kwa Mara ya kwanza walipigwa na Manchester.
Dotmond vile vile
Atletica Madrid vile vile
Arsenal vile vile
Toternham vile vile
Leo Chelsea Bingwa wa UEFA
Dotmond vile vile
Atletica Madrid vile vile
Arsenal vile vile
Toternham vile vile
Leo Chelsea Bingwa wa UEFA