Da vinci jr
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 202
- 34
Habari zenu ndugu zangu.
Napenda kuchukua nafasi hii kutoa utabiri wangu huku JF kwamba. Ziara inayo fuata ya kushtukiza itafanywa na mama Samia Suluhu.
Naamini anachofanya Mh Raisi ni kutengeneza chemistry ndani ya serikali yake. Hivyo ni wazi hata fanya mambo yote peke yake. Pia naamini kuwa hii ndio sababu kubwa ya kuto chagua baraza la mawaziri haraka. Mawaziri watakapo ingia baadae itakuwa raisi wao kwenda na flow. Kuliko kuanza wengi kwa pamoja. Hivyo naamini kuwa JPM hata chagua mawaziri wote kwa wakati mmoja. Bali ata kuwa ana wateua mdogo mdogo mpaka wizara zote zitakapo jaa.
Na kwakuwa tumesha ona move ya Waziri Mkuu TPA. Basi inayo fuata itakuwa ni ya mama Samia. Au mnasemaje ndugu zangu? Mnadhani ataibuka sehemu gani??
Napenda kuchukua nafasi hii kutoa utabiri wangu huku JF kwamba. Ziara inayo fuata ya kushtukiza itafanywa na mama Samia Suluhu.
Naamini anachofanya Mh Raisi ni kutengeneza chemistry ndani ya serikali yake. Hivyo ni wazi hata fanya mambo yote peke yake. Pia naamini kuwa hii ndio sababu kubwa ya kuto chagua baraza la mawaziri haraka. Mawaziri watakapo ingia baadae itakuwa raisi wao kwenda na flow. Kuliko kuanza wengi kwa pamoja. Hivyo naamini kuwa JPM hata chagua mawaziri wote kwa wakati mmoja. Bali ata kuwa ana wateua mdogo mdogo mpaka wizara zote zitakapo jaa.
Na kwakuwa tumesha ona move ya Waziri Mkuu TPA. Basi inayo fuata itakuwa ni ya mama Samia. Au mnasemaje ndugu zangu? Mnadhani ataibuka sehemu gani??