Utabiri kwa picha: Kesho Simba tunapoteza kwa goli 2

Utabiri kwa picha: Kesho Simba tunapoteza kwa goli 2

Muimba SINGELI

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
4,211
Reaction score
10,840
Nitaifaangalia mpira nikiwa home
downloadfile-207.jpg


Mechi itaanza kwa kasi sana kiasi cha mabanda umiza kulipuka kwa change.
downloadfile-215.jpg


Wale wana yanga wenye roho nyepesi wanaofatilia mchezo kupitia redio hali itakuwa mbaya sana kwao.

downloadfile-200.jpg


Wale ambao walishaisusa hii mechi kutokana na kuwa na mazonge mengi wataendelea na mambo yao mengine huko mitaani.
downloadfile-15.jpg


downloadfile-275.jpg


Kadi za njano zitamwagika sana kipindi cha kwanza laki hata hivyo kitaisha kwa sare ya bila kufungana.
downloadfile-90.jpg
downloadfile-80.jpg


Kipindi cha pili kitaanza kwa utulivu lakini baada ya dakika kadhaa tu kikombe kitaanza kutuelemea simba.
downloadfile-177.jpg


Wale wanasimba wenzetu wanaofatilia mchezo kupitia redio hali itakuwa mbaya zaidi.
downloadfile-283.jpg


Dakika kadhaa tu refa mwarabu atajikuta anafuatilia tukio kujiridhisha kama ni goli.
downloadfile-116.jpg


Wanasimba wanaofatilia kupitia redio watakuwa makini zaidi kusikiliza nini kinaendelea.
downloadfile-242.jpg


Daah kumbe ni goli yanga wanapata goli la kwanza.
(Mudathir Yahya ni kiherehere🤣)
downloadfile-46.jpg


Sura zetu wanasimba zina badilika ghafla.
downloadfile-70.jpg

downloadfile-262.jpg


Wana yanga wenyewe watakuwa wanatuzoom na kucheka kisiri siri.

downloadfile-213.jpg

downloadfile-276.jpg


Wachezaji wetu wataanza kupaniki na kupelekea mmoja kupata Kadi nyekundu.
downloadfile-107.jpg


Hii itagharimu sana timu na kusababisha kufungwa tena goli.
downloadfile-300.jpg


Hapo hati ya wana yanga haitakuwa poa huko mitaani ni full shangwe.
downloadfile-150.jpg

downloadfile-75.jpg


Refa atapuliza kipenga cha mwisho na wanasimba hatutaamini matokeo.
downloadfile-125.jpg

downloadfile-50.jpg

Mwishooooooooooo...............

kama unaupinga huu UTABIRI uliotolewa na mimi Tajiri, pinga kwa hoja.
 
Back
Top Bottom