Utabiri CCM itandoka kabla ya TEC

Utabiri CCM itandoka kabla ya TEC

Utabiri CCM itandoka kabla ya TEC kwasababu mmoja ni ya wezi nyingine ni ya jamii na ukweli. Wovu haujawahi kushinda HAKI. Iko siku tutakuwa na TEC lakini Chama Cha Mapinduzi kitakuwa na jina lingine kama TANU ya Kenya
Waenyewe hatahawafahamu kama unyakuo wao uu karibu sana.
 
Kwa kadiri ya uono wa macho na hisia za kawaida za binadamu,Imani kwenye dini/dhehebu kwa mtu ina nguvu mara kumi au zaidi kuliko mapenzi kwenye siasa au vyama.
Sasa,hao vibaka waje bila mipango na kutaka kutuaminisha ghafla tu watu waisaliti imani yao na kutetea chama cha kijingajinga kama CCM?Nunca!Never! Haiwezekani!
 
Yaani ccm inataka kuiaminisha jamii kwamba kuna waumini wa Kanisa Catholic wanam-support huyu mama wa kipemba kwa kitendo chake kusain order kwa ajili ya 29th massacre.

Kinachotoka kinywani mwa kuhani (padre/Askofu) ndicho waumini wote hata wale wasiohudhuria ibada za kila siku tunakiamini,hao wapuuzi wanaokusanyana kufanya ujinga hakuna Mkatoliki wa kufanya zile sinema maana hata nafsi itamsuta kujua anachokitetea ni mauwaji ya kupangwa.
 
Back
Top Bottom