Uswizi imepiga kura ya kuunga mkono marufuku ya kuvaa hijabu katika maeneo ya Umma

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,501
9,280
Uswizi imepiga kura ya kuunga mkono marufuku ya kuvaa Hijabu katika maeneo ya Umma ikiwemo Burka na Niqab zinazovaliwa na wanawake wa dini ya Kiislamu.

Matokeo rasmi yanaonesha kwamba waliounga mkono kura hiyo ya maoni iliyofanyika Jumapili ni asilimia 51.2 huku idadi ya waliopinga ikiwa ni asilimia 48.8.

Mswada huo uliwasilishwa na mrengo wa kulia wa chama cha Swiss People’s Party (SVP) ambacho kilifanya kampeni yake kwa kutumia misemo kama vile “Sitisha itikadi kali”.

Kundi kubwa la Kiislamu nchini Uswizi limesema kuwa hiyo ni “siku ya huzuni kubwa” kwa Waislamu.

“Uamuzi wa leo umefungua vidonda vya kale, na kuongeza pengo la ukosefu wa usawa kisheria, na ishara ya wazi ya kutengwa kwa kundi la Waislamu waliowachache,” Baraza la Waislamu nchini humo limesema katika taarifa iliyotoa, na kuongeza kwamba huenda likapinga uamuzi huo mahakamani.

Serikali ya Uswizi ilikuwa imejitetea dhidi ya marufuku hiyo kwamba siyo jukumu la serikali kuamua kile watakachovaa wanawake.

Kulingana na utafiti uliofanywa na chuo kikuu cha Lucerne nchini Ujerumani, ni sawa na kusema hakuna anayevaa burka na ni wanawake takriban 30 tu wanovaa niqab. Karibu asilimia 5 ya idadi ya watu nchini Uswizi ambayo ni milioni 8.6 ni Waislamu, wengi wao wakiwa wanatoka chuo kikuu cha Uturuki, Bosnia na Kosovo.

Watu nchini Uswizi wana uhuru katika masuala yao binafsi chini ya mfumo wa nchi hiyo unaozingatia demokrasia.

Na mara nyingi huwa kunafanyika kura za maoni juu ya masuala mbalimbali ya kitaifa au eneo.

Hii sio mara ya kwanza suala linalohusu Uislamu kufanyiwa kura ya maoni nchini Uswizi.

Mwaka 2009, raia walipinga ushauri wa serikali na kupiga kura ya maoni inayounga mkono kupiga marufuku majengo yenye minara kama misikiti – hoja iliyowasilishwa na chama hicho hicho cha SVP na kusema kuwa minara ni ishara ya Uislamu.


Bongo5
 
Wapo sahihi, kwa mzazi mwenye anayempenda mtoto wake, huwezi kumvalisha hayo madude labda kama unampeleka kwenye shule yako uliyojenga mwenyewe.

Inasababisha mtoto abaguliwe tangu anapotoka nyumbani hadi atakaporudi hasa kwa nchi za ulaya. hapa kwetu sisi hatuna shida kwasababu tumeshazoeana na tunaishi vizuri na tunaoleana. ila kwa ulaya ambako wanajua dini fulani ndio chanzo cha ugaidi halafu wanaona mtu kavaa sijui kanzu sijui nini, watabagua unamsababishia mwanao mateso yasiyo na msingi.

Vilevile, kuvaa hayo madude haimaainishi ndio wasafi kiroho, amini usiamini, hao hijab wanagongwa bala, na hata mimi nilisha gonga sana na sikukuta bikra ya mbele wala ya nyuma.
 
Hii chuki dhidi ya uislam sijui itaisha lini
kuna watu wanaichafua dini mkuu, siku waislam watakapoamua kuwa walinzi wa heshima ya dini yao, kwamba yeyote anayeichafua kwa kuitumia kufanya maovu wamkatae ndio na chuki hizo zitaisha. ukienda ulaya, utaiona chuki, hapa unaisikia tu kwenye mitandao. and the vise versa is true, ukichukia dini ya mwenzio na yako itachukiwa.
 
Wakati wa mwalimu walikuwa wanavaaje madam?
5c410ba65e62eb7501bf57452ef4fc56.jpg
 
kuna watu wanaichafua dini mkuu, siku waislam watakapoamua kuwa walinzi wa heshima ya dini yao, kwamba yeyote anayeichafua kwa kuitumia kufanya maovu wamkatae ndio na chuki hizo zitaisha. ukienda ulaya, utaiona chuki, hapa unaisikia tu kwenye mitandao. and the vise versa is true, ukichukia dini ya mwenzio na yako itachukiwa.
Saudi Arabia huwezi kujenga kanisa.
Mwanamke akitaka kuvaa hijab avae na akitaka kuvaa mini skirt avae. Nchi yeyote duniani, siyo mnashadadia za ulaya tu, hata nchi za kiarabu.
 
Hii chuki dhidi ya uislam sijui itaisha lini
Kua basi. Uswiss ni nchi huru. Ina wenyewe na utamaduni wao. Sasa kama wamekubaliana kuishi hivyo chuki iko wapi hapo? Waislam kule ni wahamiaji. Siwezi kuhamia nyumba yako nikupangie utaratibu wa maisha. Aidha nifuate utaratibu wako au niondoke niende mahali nakubaliana nao.

Waislam wa aina ya kwako wenye victim mentality ni shida sana. Hivi ukiaa muwazi kabisa leo hii Wakristo wanaoishi Saudia wakianza kampeni waruhusiwe kujenga makanisa utaunga mkono? Au kule Iran ambako watu wanafungwa na kuuawa simply kwa sababu ni wameamua kuwa Wakristo tukiwaambia waache uhuru wa watu utaunga mkono?

Acha mawazo mfu! Dunia ina nchi nyingi. Hupendi kukaa Uswizi unasogea nchi nyingine unayoona inakufaa.
 
Uswizi imepiga kura ya kuunga mkono marufuku ya kuvaa Hijabu katika maeneo ya Umma ikiwemo Burka na Niqab zinazovaliwa na wanawake wa dini ya Kiislamu.

Matokeo rasmi yanaonesha kwamba waliounga mkono kura hiyo ya maoni iliyofanyika Jumapili ni asilimia 51.2 huku idadi ya waliopinga ikiwa ni asilimia 48.8.

Mswada huo uliwasilishwa na mrengo wa kulia wa chama cha Swiss People’s Party (SVP) ambacho kilifanya kampeni yake kwa kutumia misemo kama vile “Sitisha itikadi kali”.

Kundi kubwa la Kiislamu nchini Uswizi limesema kuwa hiyo ni “siku ya huzuni kubwa” kwa Waislamu.

“Uamuzi wa leo umefungua vidonda vya kale, na kuongeza pengo la ukosefu wa usawa kisheria, na ishara ya wazi ya kutengwa kwa kundi la Waislamu waliowachache,” Baraza la Waislamu nchini humo limesema katika taarifa iliyotoa, na kuongeza kwamba huenda likapinga uamuzi huo mahakamani.

Serikali ya Uswizi ilikuwa imejitetea dhidi ya marufuku hiyo kwamba siyo jukumu la serikali kuamua kile watakachovaa wanawake.

Kulingana na utafiti uliofanywa na chuo kikuu cha Lucerne nchini Ujerumani, ni sawa na kusema hakuna anayevaa burka na ni wanawake takriban 30 tu wanovaa niqab. Karibu asilimia 5 ya idadi ya watu nchini Uswizi ambayo ni milioni 8.6 ni Waislamu, wengi wao wakiwa wanatoka chuo kikuu cha Uturuki, Bosnia na Kosovo.

Watu nchini Uswizi wana uhuru katika masuala yao binafsi chini ya mfumo wa nchi hiyo unaozingatia demokrasia.

Na mara nyingi huwa kunafanyika kura za maoni juu ya masuala mbalimbali ya kitaifa au eneo.

Hii sio mara ya kwanza suala linalohusu Uislamu kufanyiwa kura ya maoni nchini Uswizi.

Mwaka 2009, raia walipinga ushauri wa serikali na kupiga kura ya maoni inayounga mkono kupiga marufuku majengo yenye minara kama misikiti – hoja iliyowasilishwa na chama hicho hicho cha SVP na kusema kuwa minara ni ishara ya Uislamu.


Bongo5
Sio hijab,ni ile bongo wanaita ninja,na wala wao sio wakwanza nchi nyingi europ ni hivo France Belgium nk,hawawezi kuzuiya hijab hata siku moja
 
Natamani siku huku kwetu watoto wa shule wavae kama enzi za mwalimu.
Kitu kinanishangaza ni vile askari wanawake wa kiislam wanapokubali kutovaa hijab wakiwa na magwanda, huu ni ujinga uliopitiliza,hiyo ya Nyerere unayoitaka would never happen, unless tugawana nchi, sidhani kama waislam tutakubali kwenye hili.Serikali ya Norway inaruhusu police kuvaa hijab, imagine Bongo yenye asilimia sabini ya waisla?
 
Wapo sahihi, kwa mzazi mwenye anayempenda mtoto wake, huwezi kumvalisha hayo madude labda kama unampeleka kwenye shule yako uliyojenga mwenyewe.

Inasababisha mtoto abaguliwe tangu anapotoka nyumbani hadi atakaporudi hasa kwa nchi za ulaya. hapa kwetu sisi hatuna shida kwasababu tumeshazoeana na tunaishi vizuri na tunaoleana. ila kwa ulaya ambako wanajua dini fulani ndio chanzo cha ugaidi halafu wanaona mtu kavaa sijui kanzu sijui nini, watabagua unamsababishia mwanao mateso yasiyo na msingi.

Vilevile, kuvaa hayo madude haimaainishi ndio wasafi kiroho, amini usiamini, hao hijab wanagongwa bala, na hata mimi nilisha gonga sana na sikukuta bikra ya mbele wala ya nyuma.
Umgetumia maneno ya mazuri ungeeleweka jitahidi kuandika kwa staha sawa kijana
 
Back
Top Bottom