Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,217
- 6,349
Hii mbona poa tu. kuna vingine kinyesi kipo kinachungulia mlango yaani ukitaka kunya inabidi uvae mabuti ya mvua na usiname kwani ukikaa kinyesi na funza wanakurukia matakoni. Licha ya hapa basi, mlango gunia.