Numbisa JF-Expert Member Dec 12, 2016 267,959 1,094,159 Mar 13, 2017 #1 Kila kitu kilichopo mwilini kwa kuku ni mboga safi kabisa sio utumbo wala miguu au kichwa vyote vina hadhi sawa na upaja,kipapatio(wings)
Kila kitu kilichopo mwilini kwa kuku ni mboga safi kabisa sio utumbo wala miguu au kichwa vyote vina hadhi sawa na upaja,kipapatio(wings)
Totos Boss JF-Expert Member Dec 30, 2012 5,456 1,565 Mar 14, 2017 #4 Kama nyie mnakula bata sisi kuku tu
barakaglory JF-Expert Member Feb 6, 2017 481 474 Mar 15, 2017 #6 Haswa haswa miguu yaani ni mitamu hiyo balaaa
ben milazo JF-Expert Member Jan 18, 2015 995 671 Mar 15, 2017 #7 kweli ukiambiwa kuna watu wanaishi na watu wanaigiza hapo ndo utaelewaa kwamba wanamanisha nini mwingine ale maini mwingine miguu hii noumah sasa
kweli ukiambiwa kuna watu wanaishi na watu wanaigiza hapo ndo utaelewaa kwamba wanamanisha nini mwingine ale maini mwingine miguu hii noumah sasa
S St Lunatics JF-Expert Member Aug 29, 2015 6,645 11,153 Mar 15, 2017 #8 Halafu huyo anakuja kujamba kwenye daladala sijui itakuwaje? Ndukiiiii
Nelson nely JF-Expert Member Jan 25, 2014 4,256 2,862 Mar 15, 2017 #9 Ndo zangu hizo nikiendaga gwasa!
MNYAMAKAZI JF-Expert Member Oct 7, 2014 2,118 2,193 Mar 15, 2017 #10 tozi25 said: Halafu huyo anakuja kujamba kwenye daladala sijui itakuwaje? Ndukiiiii Click to expand... Zote nyama tu, iwe kichwa iwe paja ni protini tu so sidhani kama ujambo wa vichwa na miguu unakuwa amazing zaidi kuliko wa aliyegonga vipaja.
tozi25 said: Halafu huyo anakuja kujamba kwenye daladala sijui itakuwaje? Ndukiiiii Click to expand... Zote nyama tu, iwe kichwa iwe paja ni protini tu so sidhani kama ujambo wa vichwa na miguu unakuwa amazing zaidi kuliko wa aliyegonga vipaja.
As Salafiyyu91 JF-Expert Member Jan 11, 2014 2,537 2,526 Mar 15, 2017 #11 Umenikumbusha mbali sana mkuu!!!