Usumbufu wa kupata vitambulisho NIDA

Usumbufu wa kupata vitambulisho NIDA

Jemmie

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2018
Posts
216
Reaction score
285
Jamani hivi hizi ofisi za NIDA zinatuchosha unakaa foleni siku nzima sijui maeneo mengine ila TEMEKE hapafai. Kama ushawahi kupatwa nakadhia hii tiririka.....
 
Dawa yao moja hao ungekuwa askari au polisi mara moja unapata mimi nimeshuhudia
 
Kila shku Magufuli anabadilisha ma boss wa NIDA lakini bado tatizo halitatuliki
Hapa shida sana kuanzia kwa wafanyakazi wake mpaka mchakato wa kukipata hata kikitoka wale vijana wa nida ni wasumbufu sijawahi pata mi mpaka sasa nimeamua kuachana nacho maana hawa wadada wa vwawa hapa wanasumbja
 
Lini watabadilisha utaratibu maana hii Njoo baada wiki,mwezi,Miaka inaisha hupati,ukija waambiwa lete hichi mara hichi Zoezi hliishi
 
Sasa Kuna kazi Huezi kufanya Bila Hicho kitambulisho kupata tatizo,Mi Naomba wabunifu njia nyengine
 
Jamani hivi hizi ofisi za NIDA zinatuchosha unakaa foleni siku nzima sijui maeneo mengine ila TEMEKE hapafai. Kama ushawahi kupatwa nakadhia hii tiririka.....
Hapo kweli hapafai nilienda saa 12 asubùh nikaondoka saa 9 bila kufänikiwa. Eti hamna mtandao
 
Back
Top Bottom