nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,692
- 14,079
Naam mambo ya ndani ya nyumba,
Nimekaa kibarazani akaja na mkewe wakaniomba nisuluhishe hili jambo, mwenyewe bado natafakari ila nimewaomba warudi nyumbani na jamaa aendelee kwani yeye ndiye aliyemfunza.
Suala lenyewe mkewe analalama kwamba jamaa ndiye aliyemfundisha huo mchezo,,,naam mchezo,,,sasa mkewe kanogewa na mchezo na jamaa hataki mchezo tena,,,kwa hiyo kesi nimeletewa.
NATAFAKARI.
Nimekaa kibarazani akaja na mkewe wakaniomba nisuluhishe hili jambo, mwenyewe bado natafakari ila nimewaomba warudi nyumbani na jamaa aendelee kwani yeye ndiye aliyemfunza.
Suala lenyewe mkewe analalama kwamba jamaa ndiye aliyemfundisha huo mchezo,,,naam mchezo,,,sasa mkewe kanogewa na mchezo na jamaa hataki mchezo tena,,,kwa hiyo kesi nimeletewa.
NATAFAKARI.