Uspika na rangi halisi ya Dr Tulia Ackson

Uspika na rangi halisi ya Dr Tulia Ackson

Joined
Nov 8, 2015
Posts
18
Reaction score
10
Mchakato wa kumtafuta kada Wa CCM atayehodhi na kuilinda CCM pale jikoni bungeni yamefikia patamu yaani 3 BORA ambayo imemuleta Dr Tulia Ackson Mwansasu ambaye ni Naibu mwanasheria Mkuu, mwanasheria mahakama kuu, pia ni Mhadhili Wa sheria UDSM baada ya kuchomozaa ndani ya 3 BORA sasa tunamtazama Dr Tulia kama kada wa chama ambae anaoneshaa uwezo, nafasi kubwa ndani ya CCM...KUNA MASWALI.MACHACHE YA KUJIULIZA.....
1.Je! Dr Tulia Amejiuzulu nafasi na nyazifa zake...??
2.Jee nafasi kugombea kwa hawa watumishi wa selikali zipo CCM tuu...??
3.Ni toka Lini Dr Tulia amekua mwanaccm ili tujue maamuzi yake ya kimajukumu hapo nyuma Kama hayakua na msukumo Wa kisiasa..??
4. Hivi huyu Dr Tulia ni kweli ataweza kutenda haki kwenye kesi yoyote ya kisiasa dhidi ya upinzani? Na je ile kesi ya kiuchaguzi ya mita 100 aliokua anasimamia Dr Tulia kumbe yeye alikua anaiwakilisha CCM na siyo selikali na haki haikuwepo...??

Wanajamvi nawasisha maoni, mawazo, mitazamo yangu....
 
Sijasoma ulicho kiandika hapa. Lakini kwa ufupi ni kwamba spika wa bunge la 11 ni Job Ndungai.
 
Haaaa..Haaaa sijaandikaa spika ni Nani ila nimemzunguzia Dr tulia Ackson...umenipata Eheeeee.....!!
 
Ukitaja jina Lowassa njoo na air fresher. Maana utajaza nzi humu. Mzee wa kujinyea yule.

Spika ni Ndungai.

Ndugai ni candidate wa Lowassa ndiyo maana unaona nawataja pamoja. So ndiyo maana nimesema uhakika huo unaopata kutokana na nguvu iliyopo nyuma yake? Hii ilijulikana mbona mapema? Kacheki uzi mwingine lakini umeandika zaidi!
 
Ndugai ni candidate wa Lowassa ndiyo maana unaona nawataja pamoja. So ndiyo maana nimesema uhakika huo unaopata kutokana na nguvu iliyopo nyuma yake? Hii ilijulikana mbona mapema? Kacheki uzi mwingine lakini umeandika zaidi!

Sina haja ya kufatilia uzi wowote mimi. Niko field. Nyinyi mnaopenda kulishwa matango pori endeleeni kudanganywa kwa hizo nyuzi zenu. Ila sisi wa huku site ndio tunajua ni kwa namna gani Ndungai anamchukia Lowassa kuliko hata anavyo mchukia Shetani mwenyewe.
 
Sina haja ya kufatilia uzi wowote mimi. Niko field. Nyinyi mnaopenda kulishwa matango pori endeleeni kudanganywa kwa hizo nyuzi zenu. Ila sisi wa huku site ndio tunajua ni kwa namna gani Ndungai anamchukia Lowassa kuliko hata anavyo mchukia Shetani mwenyewe.

Sawa mkuu ila usipuuze sana hizi rumors! Kila ya kheri!
 
Lowassa inasemekana anampigia debe Ndugai kwani alikuwa kwenye kambi yake wakati wa uchaguzi wa ndani wa CCM

Unamjua Msukuma? Alikuwa kwenye kambi ya nani? Unajua Msukuma na Lowassa wana uhusiano gani sasa hivi? Acheni kukariri mambo.

Lowassa ni kama mfu anayesubiri kutangaziwa tarehe ya kuzikwa tu. Hana jipya lolote zaidi ya kujinyea tu.
 
Ingawa Dr Tulia hazungumziwi sana kwenye mtanange huu wa uspika lakini ni ngumu sana kwa mwanamama huyu kutenda haki kwa wapinzani.
This is basing on the fact siku zote yeye kwa nature ya kazi yake kama AG msaidizi ni kuipigania serikali kisheria hasa kwenye mashauri mbalimbali ya kimahakama.
All in all hata kama akichaguliwa ni ngumu kuwaburuza watu kama kina Lissu and his group.
Mtazamo wangu spika atashinda Ndugai.
 
Unamjua Msukuma? Alikuwa kwenye kambi ya nani? Unajua Msukuma na Lowassa wana uhusiano gani sasa hivi? Acheni kukariri mambo.

Lowassa ni kama mfu anayesubiri kutangaziwa tarehe ya kuzikwa tu. Hana jipya lolote zaidi ya kujinyea tu.

Bado unaendeleza dharau zako za kishetani. Pamoja na dharau zako utabakia mpiga debe wa ccm. Huyo unayemdharau kwamba kanyiea aliwahi kuwa waziri mkuu wa nchi hii. Wewe na dharau zako hata uenyekiti Huwezi kupata.
 
Unamjua Msukuma? Alikuwa kwenye kambi ya nani? Unajua Msukuma na Lowassa wana uhusiano gani sasa hivi? Acheni kukariri mambo.

Lowassa ni kama mfu anayesubiri kutangaziwa tarehe ya kuzikwa tu. Hana jipya lolote zaidi ya kujinyea tu.

Msengerema wewe acha dharau
Just imagine yule ndo mzee wako halfu anadhalilishwa na vitoto km wewe
 
Upuuzi mtupu huo. Hata kuandaa rumors hawajui hao watu. Kila mwana CCM anajua Ndungai ana mchukia Lowassa vibaya mno.

Ndugai ni teamLowasa wa kutupwa,, tena ni mshauri wa Lowasa teh teh acha kupotosha
 
Ndugai ni candidate wa Lowassa ndiyo maana unaona nawataja pamoja. So ndiyo maana nimesema uhakika huo unaopata kutokana na nguvu iliyopo nyuma yake? Hii ilijulikana mbona mapema? Kacheki uzi mwingine lakini umeandika zaidi!

Huyo dada Hamida ni zuzu kweli kweli
 
Unamjua Msukuma? Alikuwa kwenye kambi ya nani? Unajua Msukuma na Lowassa wana uhusiano gani sasa hivi? Acheni kukariri mambo.

Lowassa ni kama mfu anayesubiri kutangaziwa tarehe ya kuzikwa tu. Hana jipya lolote zaidi ya kujinyea tu.

Ndugai ni mfuasi mtiifu wa Lowasa anajulikana siku nyingi mkuu.. atalinda maslahi ya Lowasa Magufuli ataisoma namba
 
Back
Top Bottom