Rungu
JF-Expert Member
- Feb 23, 2007
- 3,932
- 1,727
Huu ndio uandishi gani sasa?...Makatibu hao ambao hawakutaka majina yao yawekwe hadharani wala wilaya wanazosimamia...
Chanzo: Tanzania daima
Huu ndio uandishi gani sasa?...Makatibu hao ambao hawakutaka majina yao yawekwe hadharani wala wilaya wanazosimamia...
Chanzo: Tanzania daima
Mtu asiye mpu.mbavu hawezi kusoma kikaragosi kiitwacho "Tanzania daima" Kiongozi gani wa ccm anayeweza kufanya mahojiano na kijarida.
Kumbe Tanzania Daima! Hilo gazeti linalotumika kusafisha uchafu wa kwenye pampas?
baadhi ya makatibu wa wilaya mbalimbali nchini wamekerwa na ugumu wanaoupata katika ukusanyaji wa wawatu sehemu mbalimbali ikiwemo na ya urais makatibu hao wamesema jukumu walilopewa ni gumu kwa kua pesa wanazopewa ni kidogo na hazitoshi kuwashawishi watu kuhudhuria mikutano yao kwani inatakiwa uwanja uonekane umejaa kwani sh/5000-10000 wanazotoa wengine wanazikataa
makatibu hao ambao hawakutaka majina yao yawekwe hadharani wala wilaya wanazosimamia walisema wilaya zote nchini zimepewa pesa ili kuratibu mikutano hiyo na hata kuwasafirisha watu kutoka sehemu mbalimbali ili uwanja uonekane umejaa.
Wakati mwingine hua tunapata tabu sana kwa kuwakusanya na kuwasafirisha kutoka katika maeneo husika hadi katika eneo la mkutano na kuwalipa shida ni kubwa sana wakati wa kuwapa nauli sisi tunakua hatujakabidhiwa fedha hivyo kuanza kusumbuana na viongozi wa misafara ya wagombea. Mikutano yote hasa ile ya urais inatubidi tukusanye watu wa kutosha ili uwanja uonekane umejaa na hivyo inatubidi kuwalipa pesa nyingi watu hao wanaohudhuria mkutano huo.
Makatibu hao walisema wamekua na wakati mgumu kuliko mwaka wowote walizowahi kufanya kampeni kutokana na watu wengi kutokua na mwamko na chama hicho na badala yake bila kulipwa wamekua hawafiki kwenye mikutano yao.
Naibu katibu mkuu ccm bara rajabu luwavi alipoulizwa juu ya shutuma hizo kutoka kwa makatibu hao wa wilaya wa ccm alisema hazina ukweli wowote na zina lengo la kukichafua chama huku akimsifu magufuli kua ana kipaji cha kipekee kinachovutia watu kuja wenyewe kumwangalia na kusikiliza sera
lakini luwavi alikiri kuna watu wana safiri umbali mrefu kwa ajili ya kumuona magufuli hivyo wao hawawezi kuwazuia kwa kua ni mapenzi yao lakini sio wanawapa pesa kama makatibu hao wanavyosema.
chanzo: tanzania daima
Kumbe Tanzania Daima! Hilo gazeti linalotumika kusafisha uchafu wa kwenye pampas?
Yani bavicha mmeanza kuwatukana watanzania kuwa wanalipwa kuhudhuria mikutano ya Magufuli...shauri yenu octoba haiko mbali watawanyima kura...
Kumbe tanzania daima gazeti ambalo lowasa alijinyea na ni fisadi linamsafisha kinyesi chake kwa wino.
Mtu asiye mpu.mbavu hawezi kusoma kikaragosi kiitwacho "Tanzania daima" Kiongozi gani wa ccm anayeweza kufanya mahojiano na kijarida.
Mleta uzi eden kimario ,gazeti la Mbowe, ulitegemea nini hapo!
malofa wanaendelea kubebwa na malori. Malofa bado wako wengi tanzania hii tujitahidi kuwaelimisha watapungua hata kuisha kabisa siku 18 ni nyingi.
Kumbe Tanzania Daima! Hilo gazeti linalotumika kusafisha uchafu wa kwenye pampas?
Kumbe Tanzania Daima! Hilo gazeti linalotumika kusafisha uchafu wa kwenye pampas?
​furaha yangu nikuwa mpowachache sana adimnatia hurumakumbe tanzania daima gazeti ambalo lowasa alijinyea na ni fisadi linamsafisha kinyesi chake kwa wino.
duh hizi ni tofali zinapelekwa site!kusomba watu oyeee
Tazama hizi video kama huamini magazeti. Ukiyahesabu hayo malori ni zaidi ya hamsini yakiwasomba watu wajaze mkutano wa Magufuli nyumbani kwao Chato. Sasa kama mgombea wa CCM hata kwao lazima awape watu chochote ndipo wahudhurie mkutano wake, huko kwingine je? Ndio maana CCM inakomba pesa zote hazina kuhonga wasikilizaji; acheni hizo, mnaifilisi nchi...!Mleta uzi eden kimario ,gazeti la Mbowe, ulitegemea nini hapo!