Usombaji watu wakera makatibu

Usombaji watu wakera makatibu

eden kimario

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2015
Posts
10,356
Reaction score
16,400
Baadhi ya makatibu wa wilaya mbalimbali nchini wamekerwa na ugumu wanaoupata katika Ukusanyaji wa wawatu sehemu mbalimbali ikiwemo na ya urais makatibu hao wamesema jukumu walilopewa ni gumu kwa kua pesa wanazopewa ni kidogo na hazitoshi kuwashawishi watu kuhudhuria mikutano yao kwani inatakiwa uwanja uonekane umejaa kwani sh/5000-10000 wanazotoa wengine wanazikataa

Makatibu hao ambao hawakutaka majina yao yawekwe hadharani wala wilaya wanazosimamia walisema wilaya zote nchini zimepewa pesa ili kuratibu mikutano hiyo na hata kuwasafirisha watu kutoka sehemu mbalimbali ili uwanja uonekane umejaa.

Wakati mwingine hua tunapata tabu sana kwa kuwakusanya na kuwasafirisha kutoka katika maeneo husika hadi katika eneo la mkutano na kuwalipa shida ni kubwa sana wakati wa kuwapa nauli sisi tunakua hatujakabidhiwa fedha hivyo kuanza kusumbuana na viongozi wa misafara ya wagombea. Mikutano yote hasa ile ya urais inatubidi tukusanye watu wa kutosha ili uwanja uonekane umejaa na hivyo inatubidi kuwalipa pesa nyingi watu hao wanaohudhuria mkutano huo.

Makatibu hao walisema wamekua na wakati mgumu kuliko mwaka wowote walizowahi kufanya kampeni kutokana na watu wengi kutokua na mwamko na chama hicho na badala yake bila kulipwa wamekua hawafiki kwenye mikutano yao.

Naibu katibu mkuu CCM bara rajabu luwavi alipoulizwa juu ya shutuma hizo kutoka kwa makatibu hao wa wilaya wa CCM alisema hazina ukweli wowote na zina lengo la kukichafua chama huku akimsifu magufuli kua ana kipaji cha kipekee kinachovutia watu kuja wenyewe kumwangalia na kusikiliza Sera

Lakini luwavi alikiri kuna watu wana safiri umbali mrefu kwa ajili ya kumuona magufuli hivyo wao hawawezi kuwazuia kwa kua ni mapenzi yao lakini sio wanawapa pesa kama makatibu hao wanavyosema.

Chanzo: Tanzania daima
 
Kumbe Tanzania Daima! Hilo gazeti linalotumika kusafisha uchafu wa kwenye pampas?
 
Acha wajinga waendelee kubebwa kwenye maloli kama mifugo inapelekwa mnadani na ni aibu kwa ccm kama karne hii wanalazisha watu kuhudhuria mikutano
 
Baadhi ya makatibu wa wilaya mbalimbali nchini wamekerwa na ugumu wanaoupata katika Ukusanyaji wa wawatu sehemu mbalimbali ikiwemo na ya urais makatibu hao wamesema jukumu walilopewa ni gumu kwa kua pesa wanazopewa ni kidogo na hazitoshi kuwashawishi watu kuhudhuria mikutano yao kwani inatakiwa uwanja uonekane umejaa kwani sh/5000-10000 wanazotoa wengine wanazikataa

Makatibu hao ambao hawakutaka majina yao yawekwe hadharani wala wilaya wanazosimamia walisema wilaya zote nchini zimepewa pesa ili kuratibu mikutano hiyo na hata kuwasafirisha watu kutoka sehemu mbalimbali ili uwanja uonekane umejaa

Wakati mwingine hua tunapata tabu sana kwa kuwakusanya na kuwasafirisha kutoka katika maeneo husika hadi katika eneo la mkutano na kuwalipa shida ni kubwa sana wakati wa kuwapa nauli sisi tunakua hatujakabidhiwa fedha hivyo kuanza kusumbuana na viongozi wa misafara ya wagombea. Mikutano yote hasa ile ya urais inatubidi tukusanye watu wa kutosha ili uwanja uonekane umejaa na hivyo inatubidi kuwalipa pesa nyingi watu hao wanaohudhuria mkutano huo

Makatibu hao walisema wamekua na wakati mgumu kuliko mwaka wowote wa lizowahi kufanya kampeni kutokana na watu wengi kutokua na mwamko na chama hicho na badala yake bila kulipwa wamekua hawafiki kwenye mikutano yao

Naibu katibu mkuu ccm bara rajabu luwavi alipoulizwa juu ya shutuma hizo kutoka kwa makatibu hao wa wilaya wa ccm alisema hazina ukweli wowote na zina lengo la kukichafua chama huku akimsifu magufuli kua ana kipaji cha kipekee kinachovutia watu kuja wenyewe kumwangalia na kusikiliza Sera

Lakini luwavi alikiri kuna watu wana safiri umbali mrefu kwa ajili ya kumuona magufuli hivyo wao hawawezi kuwazuia kwa kua ni mapenzi yao lakini sio wanawapa pesa kama makatibu hao wanavyosema.

Source Tanzania daima

Mtu asiye mpu.mbavu hawezi kusoma kikaragosi kiitwacho "Tanzania daima" Kiongozi gani wa ccm anayeweza kufanya mahojiano na kijarida.
 
Iringa hawakupewa hela za kusombea, watu walikuwa kiduchu hadi kupata hasira za kumkamata Msigwa na watu wake walio kuwa wanafanya kikao cha ndani kwenye jengo la sambala lodge na kuwa umiza vibaya.Ni kusomba watu mtindo mmoja vinginevyo watu hawajai
 
malofa wanaendelea kubebwa na malori. Malofa bado wako wengi tanzania hii tujitahidi kuwaelimisha watapungua hata kuisha kabisa siku 18 ni nyingi.
 
Huwa tunawasomba watu kama hivi lakin kwakweli tumepewa Kaz ngumu wakat huohuo posho kidogo
 

Attachments

  • 1444209985651.jpg
    1444209985651.jpg
    18.6 KB · Views: 664
Wasubili kiyama ccm hatuitaki kabisaaaa.waache tuwalie hetu
 
Etiii....wamekiri kampeni za uchaguzi huu ni ngumu kuliko zote. Safi sana
 
Yani bavicha mmeanza kuwatukana watanzania kuwa wanalipwa kuhudhuria mikutano ya Magufuli...shauri yenu octoba haiko mbali watawanyima kura...
 
Mtu asiye mpu.mbavu hawezi kusoma kikaragosi kiitwacho "Tanzania daima" Kiongozi gani wa ccm anayeweza kufanya mahojiano na kijarida.

kweli mkuu na mwerevu akijidanganya kwa kusomba watu toka sehemu moja kwenda
nyingine ili aonekane ana umati mkubwa
anaonesha wehu badala ya werevu
 

Attachments

  • 12096051_1636761849919875_5024184727174515960_n.jpg
    12096051_1636761849919875_5024184727174515960_n.jpg
    10.2 KB · Views: 496
Kumbe Tanzania Daima! Hilo gazeti linalotumika kusafisha uchafu wa kwenye pampas?

Ulitaka iandikwe kwenye gazeti la kufungia maandazi Uhuru? Taarifa watu wangepataje coz halinunuliwi#mabadilikoLowassa.
 
Kumbe tanzania daima gazeti ambalo lowasa alijinyea na ni fisadi linamsafisha kinyesi chake kwa wino.
 
Back
Top Bottom