Maamuma ninaisikiliza hii Budget online redio mambo arusha. so natumia head phones. huwezi amini nisikia muda waziri kasita then akanongonezwa na mtu. yaani kama m2 aliye kariri shairi.Hotuba ya Bajeti ndo inasomwa sasa lakini usomaji wa Mheshimiwa Waziri wa Fedha unaninyima raha. Nakosa mtiririko mzuri kwa sababu anakwamakwama sana na kukoseakosea maneno. Nimesema tu just to get it out of my chest. Inanikera.
Maamuma ninaisikiliza hii Budget online redio mambo arusha. so natumia head phones. huwezi amini nisikia muda waziri kasita then akanongonezwa na mtu. yaani kama m2 aliye kariri shairi.
Mimi niifikiri ni kipindi cha Ze comedy. Kwa mwanzo huu, inaonekana jamaa atakua mweupe kuliko aliyemtanguliaHotuba ya Bajeti ndo inasomwa sasa lakini usomaji wa Mheshimiwa Waziri wa Fedha unaninyima raha. Nakosa mtiririko mzuri kwa sababu anakwamakwama sana na kukoseakosea maneno. Nimesema tu just to get it out of my chest. Inanikera.
nadhani angejifunza kiswahili kwanza