Mikopo Consultant
JF-Expert Member
- Oct 28, 2024
- 2,235
- 4,382
Mawazo haya nimeyatoa kwenye Biblia: Kutoka 34: 29-35. Musa alivyoshuka mlima wa Sinai, alipokuwa anafanya agano na Mungu, Haruni na wana wa Israel waliona ngozi ya uso wa Musa ikiwa inang'aa sana (japo Musa alikuwa hajui kama uso wake unang'aa na una nuru kali).
Na walipoona hivo, waliogopa kumkaribia Musa.
Kwahiyo ndugu zanguni: kwenye jamii tunamoishi, pendelea sana kutazama nyuso za watu. Hii itakusaidia sana kujiweka karibu na watu wema (walio karibu na Mungu) na kujitenga na waovu (waliojitenga na ufalme wa Mungu).
Uso ni mlango wa kiroho.
Na walipoona hivo, waliogopa kumkaribia Musa.
Kwahiyo ndugu zanguni: kwenye jamii tunamoishi, pendelea sana kutazama nyuso za watu. Hii itakusaidia sana kujiweka karibu na watu wema (walio karibu na Mungu) na kujitenga na waovu (waliojitenga na ufalme wa Mungu).
Uso ni mlango wa kiroho.