Mtuache
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 260
- 707
1. Ubongo umeundwa na mafuta. Asilimia 60% ya ubongo wa binadamu ni mafuta yaani ubongo ni moja ya fat organ. Fatty acid iliyomo ndani ya ubongo ni msaada mkubwa katika afya ya ubongo kwa kuhakikisha ina busti virutubisho kwa jili ya ukuaji mzuri.
2. Ubongo ukamilisha ukuaji au kujiunda kwa miaka 25. Unaanza kukua kutoka nyuma kwenda mbele kwahiyo ile sehemu ya mbele ya ubongo inayo husika na maswala ya kujieleza yani reasoning na planing ukua taratibu. Ukuaji wa ubongo ni kwa maana ya kukomaa au ukomavu.
3. Tafiti za kisayansi zinaonyesha kwamba, uwezo wa ubongo wa binadamu kuifadhi kumbukumbu hauna kikomo. Ubongo wa binadamu una nyuroni zaidi ya quadrillion moja (Trillioni 1000). Nyuroni moja huungana na nyuroni nyengine hivyo kuongeza uwezo wa kuifadhi kumbukumbu. Kumbuka: baadhi ya magonjwa huathiri moja kwa moja uwezo wa ubongo kutunza kumbukumbu; mfano:- ALZHEIMER'S
4. Ubongo wa binadamu unasafirisha taarifa kwa spidi ya mita 119.8 kwa sekunde. Msisimko wa nyuroni huzalisha umeme, umeme huo husafiri seli hadi seli. Ili kupima hii spidi Chukua huu mfano:-
unapoitwa jina "John njoo" mawimbi ya sauti hupokelewa kwanza masikioni mwako, sehemu ya nje ya sikio hio imekaa kama dishi inaitwa "pinna". Mawimbi hayo yatazungushwa hapo zaidi ya mara 20 ndio yaingizwe ndani, yatasafari mpaka kwenye ngoma ya sikio (ear drum) hio ngoma itakuwa stimulated na itatengeneza kitu mfano wa mtetemo. Mtetemo huo utapelekwa hadi kwenye ubongo kupitia nyuroni. Ubongo utatafsiri na kutoa maamuzi.
Yaani utajua john ni jina lako hivyo umeitwa, licha ya kuitwa umeambiwa njoo yaani uende, utamjua aliyekuita tena utamjua kwa majina na nafasi aliyonayo kwako kama ni baba au mama au nani. Utamjua aliyekuita yupo wapi kutokea ulipo
maamuzi yanaweza kuwa kwanza unapaswa uitike, hivyo utaitika "naam" au "abee" kutoka umezoea kumuitikiaje huyo mtu. Maamuzi mengine ni Uende au usiende na kama uende kwanini uende, kama usiende kwanini usiende. Yote haya na mengine mengi yanafanyika kabla hata ya sekunde kuisha
UBONGO WA BINADAMU UNA MAMBO MENGI NA UNAWEZA KUFANYA VITU VINGI VYA AJABU. MACHACHE YANAFAHAMIKA NA YAMEGUNDULIKA, MENGI HAYAFAMIKI NA HAYAJAGUNDULIKA
Ngoja nikuache na hii:-
JE WAJUA ubongo ndio kiungo pekee katika mwili wa binadamu kilichojipa jina lenyewe. Yaani mkono unaitwa mkono kwasababu ubongo uliamua huo mkono uitwe hivyo mkono. Lakini ubongo kuitwa ubongo, ni ubongo wenyewe uliamua kuwa aitwe ubongo.
2. Ubongo ukamilisha ukuaji au kujiunda kwa miaka 25. Unaanza kukua kutoka nyuma kwenda mbele kwahiyo ile sehemu ya mbele ya ubongo inayo husika na maswala ya kujieleza yani reasoning na planing ukua taratibu. Ukuaji wa ubongo ni kwa maana ya kukomaa au ukomavu.
3. Tafiti za kisayansi zinaonyesha kwamba, uwezo wa ubongo wa binadamu kuifadhi kumbukumbu hauna kikomo. Ubongo wa binadamu una nyuroni zaidi ya quadrillion moja (Trillioni 1000). Nyuroni moja huungana na nyuroni nyengine hivyo kuongeza uwezo wa kuifadhi kumbukumbu. Kumbuka: baadhi ya magonjwa huathiri moja kwa moja uwezo wa ubongo kutunza kumbukumbu; mfano:- ALZHEIMER'S
4. Ubongo wa binadamu unasafirisha taarifa kwa spidi ya mita 119.8 kwa sekunde. Msisimko wa nyuroni huzalisha umeme, umeme huo husafiri seli hadi seli. Ili kupima hii spidi Chukua huu mfano:-
unapoitwa jina "John njoo" mawimbi ya sauti hupokelewa kwanza masikioni mwako, sehemu ya nje ya sikio hio imekaa kama dishi inaitwa "pinna". Mawimbi hayo yatazungushwa hapo zaidi ya mara 20 ndio yaingizwe ndani, yatasafari mpaka kwenye ngoma ya sikio (ear drum) hio ngoma itakuwa stimulated na itatengeneza kitu mfano wa mtetemo. Mtetemo huo utapelekwa hadi kwenye ubongo kupitia nyuroni. Ubongo utatafsiri na kutoa maamuzi.
Yaani utajua john ni jina lako hivyo umeitwa, licha ya kuitwa umeambiwa njoo yaani uende, utamjua aliyekuita tena utamjua kwa majina na nafasi aliyonayo kwako kama ni baba au mama au nani. Utamjua aliyekuita yupo wapi kutokea ulipo
maamuzi yanaweza kuwa kwanza unapaswa uitike, hivyo utaitika "naam" au "abee" kutoka umezoea kumuitikiaje huyo mtu. Maamuzi mengine ni Uende au usiende na kama uende kwanini uende, kama usiende kwanini usiende. Yote haya na mengine mengi yanafanyika kabla hata ya sekunde kuisha
UBONGO WA BINADAMU UNA MAMBO MENGI NA UNAWEZA KUFANYA VITU VINGI VYA AJABU. MACHACHE YANAFAHAMIKA NA YAMEGUNDULIKA, MENGI HAYAFAMIKI NA HAYAJAGUNDULIKA
Ngoja nikuache na hii:-
JE WAJUA ubongo ndio kiungo pekee katika mwili wa binadamu kilichojipa jina lenyewe. Yaani mkono unaitwa mkono kwasababu ubongo uliamua huo mkono uitwe hivyo mkono. Lakini ubongo kuitwa ubongo, ni ubongo wenyewe uliamua kuwa aitwe ubongo.