Ukweli nilivutiwa na umbo lako ndio maana nikakutongoza.
Nikakupitisha mpaka nyumbani kwangu nikuonyeshe ninapoishi.
Nikakukaribisha mpaka ndani kubainisha ni kweli kwamba niko singo.
Sikushangaa sana uliponipa mzigo siku hiyohiyo ya kwanza.
Kinachonishangaza ni vile ulipoanza kuja mfululizo tena bila ya apointimenti na kuacha nguo zako moja baada ya nyingine.
Ona sasa ni wiki inakatika sasa hutaki kurudi kwenu yaani ukitoka job ni moja kwa moja kiguu na njia mpaka kwangu. Inamaana ndo ushajiozesha hivyo.
Aaah sista hata kama ndoa haifosiwi hivyo.
Acha ushamba oa wewe kwani kumpenda kwako si ulizimika na flag yake!
sasa udhaifu gani uliouona kwake hadi unatuchania mistari bila beats!
Huo ni udhaifu wako inaonesha kakuzidi ma'shoot' ndo mana unatafuta kusepa kimya kimya!
Lakini usijali fanya hivi;~ aga safari ya muda mrefu akishafungasha virago vyake potezea kwa siku kadhaa na siku akirudi uwe unapanga kuondoka muda huohuo lazima atahisi umemchukia au una mwingine.
na sometimes akija weka alarm ya muda wa dk 5 na ikilia ,ikate na jifanye unapokea simu kwa huku ukitamka "mpenzi nakuja sasa hivi kuna mgeni ananichelewesha lakini usijali baada ya muda mfupi nitakuwepo hapo!" ukirudi dozi hiyo kwa mara nne kwa wiki na huyo demu bado anakuganda ujue siyo "mzima" ita/tuma watu wengine wakusaidie kumfukuza!
Mbona mate? Jioni nitamuliza may be we ni shem wangu.
kwa kifupi wewe akili hauna,pole!
Maana ya Mentor unafahamu?
Jawilat ni huyu mvulana mmoja tu..!Talk to her..unamtangaza hapa tukuone kidume ulitongoza na kut.mbo siku hiyohiyo?
Binadamu hana jema heri kuishi na mbwa atafukuza wezi.
Hahahaaa!mwenyewe uliyataka,Siku ya kwanza tu umempeleka home!Hiyo inaonesha we mwenyewe ulimuona wife material,unalalamika nini sasa.Ukweli nilivutiwa na umbo lako ndio maana nikakutongoza.
Nikakupitisha mpaka nyumbani kwangu nikuonyeshe ninapoishi.
Nikakukaribisha mpaka ndani kubainisha ni kweli kwamba niko singo.
Sikushangaa sana uliponipa mzigo siku hiyohiyo ya kwanza.
Kinachonishangaza ni vile ulipoanza kuja mfululizo tena bila ya apointimenti na kuacha nguo zako moja baada ya nyingine.
Ona sasa ni wiki inakatika sasa hutaki kurudi kwenu yaani ukitoka job ni moja kwa moja kiguu na njia mpaka kwangu. Inamaana ndo ushajiozesha hivyo.
Aaah sista hata kama ndoa haifosiwi hivyo.
ooh kumbe ni mvulana,!!hapo gheto ni ya kaka yake kamuachia kaka kaenda field,sasa mvulana anawaza itakuwaje kaka akirudi!!
Akinipa papuchi the same day hata ub** wangu siuingizi huko, ptuuu!! Nampiga "finga" then asepe and that will be **the end**
dharau hizi daaah!:angry:
Ukweli nilivutiwa na umbo lako ndio maana nikakutongoza.
Nikakupitisha mpaka nyumbani kwangu nikuonyeshe ninapoishi.
Nikakukaribisha mpaka ndani kubainisha ni kweli kwamba niko singo.
Sikushangaa sana uliponipa mzigo siku hiyohiyo ya kwanza.
Kinachonishangaza ni vile ulipoanza kuja mfululizo tena bila ya apointimenti na kuacha nguo zako moja baada ya nyingine.
Ona sasa ni wiki inakatika sasa hutaki kurudi kwenu yaani ukitoka job ni moja kwa moja kiguu na njia mpaka kwangu. Inamaana ndo ushajiozesha hivyo.
Aaah sista hata kama ndoa haifosiwi hivyo.
Ukweli nilivutiwa na umbo lako ndio maana nikakutongoza.
Nikakupitisha mpaka nyumbani kwangu nikuonyeshe ninapoishi.
Nikakukaribisha mpaka ndani kubainisha ni kweli kwamba niko singo.
Sikushangaa sana uliponipa mzigo siku hiyohiyo ya kwanza.
Kinachonishangaza ni vile ulipoanza kuja mfululizo tena bila ya apointimenti na kuacha nguo zako moja baada ya nyingine.
Ona sasa ni wiki inakatika sasa hutaki kurudi kwenu yaani ukitoka job ni moja kwa moja kiguu na njia mpaka kwangu. Inamaana ndo ushajiozesha hivyo.
Aaah sista hata kama ndoa haifosiwi hivyo.
hooooo Mamaaaaa ! humepiga ikulu hapokweli wewe upo dunia ipi?
Mwanamke ukitongoza akakukubalia siku hiyo hiyo na akakupa papuchi siku hiyo hiyo sio kwamba ni mrahisi au nimalaya ispokuwa mlikutana wote mna migenye na demu akiangalia ana maugumu ya mwaka mzima alafu na wewe umejitokeza kwa nini asichangamkie fursa hahahaha
hooooo Mamaaaaa ! humepiga ikulu hapo
hooooo Mamaaaaa ! humepiga ikulu hapo
Kwani huko nyumbani anako pelekwa anaenda kuosha vyombo? Lol....loh ebu mpende mwanamke mwenzio..unataka akagegedwe kwenye guest tena..anaonekana kabisa kuwa anaenda kugegedwa.
Kwani huko nyumbani anako pelekwa anaenda kuosha vyombo? Lol....
"The truth is hard to swallow when you're choking on your pride."
hahaha hapana but atleast sio kama unavyoingia guest pale basi inajulikana kabisa huyu anaenda gegedwa.
Mzabzab, na weye kwa visa all the same....,,,,
"The truth is hard to swallow when you're choking on your pride."