Usiwe king'ang'anizi...soma alama za nyakati!!

Mi napita tu kukusalimu Liz,kwakuwa mimi mwenyewe ni king'ang'anizi no comment.
 
its a viscous cycle and you may end up recycling your love life because there is no perfect man!

Love is a gamble, only 0.1% WIN IT
 

nashukuru lizzy imenigusa
 
:smash::smash:
:mad2::mad2:
:rant::rant::rant::rant::rant::rant::rant:

Hubby embu soma katikati ya mistari bwana!!!Ina maana hata washkaji siruhusiwi kuwamiss???WE NDO KILA KITU BANA.....:hug:
 
its a viscous cycle and you may end up recycling your love life because there is no perfect man!

Love is a gamble, only 0.1% WIN IT

Well...perfect man or no perfect man, no one deserves to be treated like SH!T!!
 
Yani kwa jinsi navyosoma wana jf wanavyochangia nahc maumivu ya kuachwa/kuacha moyo jaman moyo unauma sana liz we acha 2.
 
inahitaji ushujaa mkubwa kujitoa kwenye abusive relationship, unyanyasaji unaweza usiwe unausisha kipigo moja kwa moja lakini maneno ya kuumiza na yenye kuondoa confidence na kujisikia huko trapped kwenye relationship, kwa kweli ni suala la kupongeza ukiona mtu amejitoa kwenye uhusiano wa namna hii.
 

Na hiyo psychological abuse ndo haswaa inayowaondolea watu kujiamini!
 
Hebu jamani nielezeni, kama mwanamke anamnyanyasa mwanaume inakuwaje hapo?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…