GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,689
- 109,122
1. Baba Dulla kanitesa kweli na hii Mimba.
2. Najuta kumbebea Mimba Mwanaume wangu mwenye ngumu.
3. Utamu wa dakika chache Unanitesa sasa.
4. Sizai tena labda anibake.
5. Yaani huyu Bwege ndiyo ananifanya Mimi nilambe Mkaa kila mara?
6. Safari ijayo nagawana nae Mimba ili ajue Mateso ninayopata.
7. Nikilala nae tena baada ya Kujifungua akatambike Kwao ila simpi tena na sasa namchukia mno.
Kinachoshangaza hawa Wanawake wote wanaokuwa na kauli hizi za Hasira za Mimba zao wakijifungua tu kumaliza Siku 40 zao Wao ndiyo hupandwa mno na Genye na kutaka Mikuyenge iwasuuze tena.
Wanawake wote wa JF Shikamooni.
2. Najuta kumbebea Mimba Mwanaume wangu mwenye ngumu.
3. Utamu wa dakika chache Unanitesa sasa.
4. Sizai tena labda anibake.
5. Yaani huyu Bwege ndiyo ananifanya Mimi nilambe Mkaa kila mara?
6. Safari ijayo nagawana nae Mimba ili ajue Mateso ninayopata.
7. Nikilala nae tena baada ya Kujifungua akatambike Kwao ila simpi tena na sasa namchukia mno.
Kinachoshangaza hawa Wanawake wote wanaokuwa na kauli hizi za Hasira za Mimba zao wakijifungua tu kumaliza Siku 40 zao Wao ndiyo hupandwa mno na Genye na kutaka Mikuyenge iwasuuze tena.
Wanawake wote wa JF Shikamooni.