kwa hela gani alionayo? mwenyewe hana pa kuishi kapanga room moja hiyo balance ya kuiba ikajenge ukweni ipo wapi?Mwanaume wa aina yako ndo hafai kabisa! Mwanamke akuibie ina maana yeye anakuwa hana hela ama? Tupishe sie!
Hv umefikiria nn ukaileta hii mada humu,huyo m'ke utakuwa hujampenda kweli umempenda utakumbuka kuchunguza yote hayo? acha ulimbukeni wa mawazo na kasumba ndiyo inakusumbua ww.
Mh...kabaki nani sasa??!
Very funny hamna ukweli wowote
Umevurugwa mkuu japo una point lakini umeshindwa ku present nina wasiwasi na elimu yako(uandishi wako hauna logic na hata hizo spelling ni za watu wa facebook) pili uwezo wako wa kufikiria-umeshutumu sana bila ushahidi wa kutosha au bila kuelezea mwisho kabisa...zaidi ya yote UMEPITWA NA WAKATI
unawezaje kumuhukumu mtu kutokana na mwandiko wake? kama angeandika sarufi vizuri na asingekuwa na pount ungemsifia ama? kwa mtazamo wangu, ujumbe ndio kitu cha muhimu, kama hujaelewa uliza, sio kusema ni wa facebook, sio sawa kabisaa...
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
hapo nakubaliana na wew 100%, ila naongezea kidogo.., usioe mwanamke tajiri wala maskin sana. yaan muwe wa level moja.
kuna jamaa alioa mke kwao wapo poa kuliko kwao jamaa, basi kipindi cha likizo watoto wakawa wanagoma kwenda kwa babu mzaa baba, et 'kwa babu wa mbinga sis hatuendi, hata chai hakuna asbuhi wanaamka wote kulima, viaz kila siku hata chakula wakipika sio kitam, tv hakuna, sis tunaenda zetu kwa babu wa moshi"
ona hali hiyo sasa, jamaa inabidi kusalimu amri kila likizo waende moshi au aende pekeake mbinga.
Kweli mkuu maana sifa ya binadamu ni kutofautiana hoja na kurekebishana na ndio maana huwa kuna mikutano na makongamano lengo ni moja tu kupata muafaka wa pamoja vingenevyo kama binadamu vichwa vyetu au upeo wetu ungekuwa sawa kusingekuwa na mikutano wala makongamano au forum kama hizi kwa kuwa mmoja akifanya maamuzi basi wote tunakubaliana nae, otherwise nimependa signature yako kama inahusika vile hapa though kizungu kinanipiga chenga kidogosasa mkuu mbona unamponda sana Kijana?Ushauri kama huu haujengi bali unabomoa,,Kwani mtu kuishia form 4 ndio asiwe anatoa yake ya moyoni?Na hata kama uwezo wake wa kufikiria ni mdogo basi wewe mwenye uwezo mkubwa utakua umemuelewa vizuri zaidi..Umesema pia Amepitwa na wakati ni sawa coz siyo watu wote wanapata nafasi ya kuji expose na vitu kama hivyo kama ilivyo kwa upande wake....zaidi ya yote UMESOMA LAKINI ELIMU YAKO HAIKUSAIDII
Mmmh.... outdated analysis. Kinacho matter hapo ni akili ya mwanamke... ameikataa historia ya kwao anaitaji new life. Utapoteza mtu ambaye angekuwa mke mwema kwako kwa analysis za ajabu ajabu. Watch out
Naona umeamua kuwataja wahaya ili thredi ipate wachangiaji.
Umevurugwa mkuu japo una point lakini umeshindwa ku present nina wasiwasi na elimu yako(uandishi wako hauna logic na hata hizo spelling ni za watu wa facebook) pili uwezo wako wa kufikiria-umeshutumu sana bila ushahidi wa kutosha au bila kuelezea mwisho kabisa...zaidi ya yote UMEPITWA NA WAKATI
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Mie nina marafiki wa kihaya, walikuwa hawajui yaliyomo kwa kabila lao ila ni hatari maana hawakuamini na pesa walizonazo kifamilia kila mtu anajitahidi ila duh wanamaovu ndani ya ajabu.
Kabila hilo lilitawaliwa sana pia na wao kuamini miungu (God's of the land) hadi walipokuja wazungu ndio baadae wakafata dini ila kichini hayo huwa hayaishi, na wengi ni wachawi kweli. najua Nchi nyingi makabila maeneo yanafata bado hayo ya mungu wa eneo ila ya wahaya, sikia usikie utashangaa.