SSH2025_2030
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 9,661
- 9,753
Kwa bahati ikatokea umepata mchumba/mke wa kinyakyusa. Usifikirie kumuacha maana ni watu wanajibidisha kutafuta pesa, pia kitandani wapo vizuri. Kasoro wana sura ngumu sana.
Mie nimeshawamwaga kama wan
ne hiv kipindi nipo mby city...they knw how to love,they are hardworkers tatizo ni wabishi sanaaaaa.Pia wanapenda kutawala vibaya mno
Mimi nimeoa dada wa kinyakyusa ni mzuri sana hata mnyarwanda hafikii, tatizo lao ni kujifanya hawana shida kwao,. Ila kwa bidii na maarifa wanatisha
Yeah....nine ngwitika,abalumbu bangu banunu fijo kangi bakabakonyofu.
Mnyakyusa hata unipe bure na milioni moja juu sichukui ni malaya wa kupindukia,alafu wanatoroka na watoto hasa ukiwa sio kabila lake,alafu watoto wanapachikwa majina ya kinyakyusa na kuongea lugha ya kinyakyusa badala ya lugha
ya baba.yaani hovyooooo! Mabasha zake watakuja hadi kwako unadangwa kaka zangu.nimewala sana wanyakyusa kama 21 nawajua sanaa! Alafu ni wanafiki.
Kama sijaelewa vile!???????
Ni watafutaji wazuri pia ni malaya sna,,,c wavumilivu kuvunja ndoa ni jambo la kawaida
Ni watafutaji wazuri pia ni malaya sna,,,c wavumilivu kuvunja ndoa ni jambo la kawaida
Wewe mwenyewe umezaliwa nje ya ndoa kwa nini hukuanza kumwita malaya mama yako?