PreGE2025 Usitangaze kugombea mapema, utatolewa mchezoni

PreGE2025 Usitangaze kugombea mapema, utatolewa mchezoni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Now and then

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2024
Posts
613
Reaction score
1,726
Wakuu, ili kujizuia na fitina na ulozi Usithubutu kutangaza kuwa unagombea ubunge , kuna jamaa yangu wameshamtoa mchezoni huko CCM.
 
Wakuu , ili kujizuia na fitina na ulozi usitangaze kugombea ubunge mapema.
Hata hivyo tunamshukuru sana mama kwa ushindi wa Morocco dhidi ya Taifa stars. Hakika amethubutu na ameweza. m5 tena
 
Back
Top Bottom