Watu wapo depressed Sana na sehemu pekee ya kujiliwaza ni mitandaoni.
Mfano ukisoma alichoandika Diva na alichoandika huyo MAMA.
Unaona huyo mama she is too depressed .
Diva hizo POST zake huwa anaziweka kimkakati kupata Engagement n.k
Na ndo Maisha anayoyapenda Ila kuna watu unakuta wanamtukana Sana mpaka unaona kuwa hawapo sawa.
MTU haumpendi Ila unamfatilia na unaingia katika PAGE yake everyday na kutukana sasa mjinga ni nani hapo .?
Ukiona MTU anatukana watu mitandaoni hasa hawa celebrity ujue hayupo sawa upstair.
Wao hayo matusi ndo wanayapenda yanawapa Engagement like na Followers.