The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 34,089
- 102,576
Hua nahisi hata ID ya Muimba SINGELI ndio yeye.Hahaha kuna ka harufu ka ukweli
Hua nahisi hata ID ya Muimba SINGELI ndio yeye.Hahaha kuna ka harufu ka ukweli
Nakubaliana nawe mkuu katika hilo.Hivyo hapo unazungumzia zaidi kutenda kwa busara , ila kutenda kwa hekima kunazingatia hali ya kina zaidi kutegemea historia ya yaliyo pita na hali ya sasa.
Ndio maana kijana ni rahisi kuwa na busara kuliko hekima .
Hakuna kitu kama hicho mkuu, hizo ni fikira zako potofu tu.Nahisi Mjusi Sharobalo ndio yule kijana alikua anatumia ID ya Kijana masikini,halafu akabadili tena ID kabla ya kua na hii ya Mjusi.
Haya mjusi ulie kabwa kwenye mlango...?Usiishi katika wakati wa nyuma, usiwe na ndoto kubwa kupita kiasi wakati ujao, wekeza nguvu zako wakati ulionao kwa sasa.
Usisahau mipango endelevu ya wakati ujao, hekima ya mtu huanza pale anapoukubari ujinga alionao... Mjusi sina baya.
Duniani wawili wawili bwashee, kwanza mmetumia vigezo gani?Hahaha kuna ka harufu ka ukweli
Cheka kicheko Cha shetani 🤣Haya madini unayotoa, leo kwashemej hapo watakua wamepika pilau