Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,271
- 829,303
Usaliti kwenye ndoa imekuwa kitu cha kawaida mno, Wapo wengi mno wamepangishia vimada chumba, au nyumba nzima sasa hufikia penzi likanoga mpaka watu wakataliki wale zao au waume zao wa ndoa ili akaoe au akaolewe na nyumba ndogo, lakini bahati mbaya hukuta maumivu kwakuwa yule alikuwa ni mwizi na anajua kwa vyovyote ukiingia kwake hatakubali naye aibiwe...mara nyingi hutokea ugomvi na kutokuelewana mara kwa mara mifano ipo mingi sana lakini inatosha tu kusema iache nyumba ndogo ibaki kuwa nyumba ndogo kwakuwa Once a cheater always a cheater
Kuna nyumba ndogo nyiiingi zinahudumiwa na wapenzi zaidi ya wa3, utakuta kodi kalipa huyu, sofa kanunua yule, friji kanunua mwingine nk nk? nk na wote hamjuani
Kuna nyumba ndogo nyiiingi zinahudumiwa na wapenzi zaidi ya wa3, utakuta kodi kalipa huyu, sofa kanunua yule, friji kanunua mwingine nk nk? nk na wote hamjuani