Hahahaaaaa ucku nimekuona kule cerebrities forum ukikasifia kale kabinti kalikojaziajazia
Afadhari hata watoto wa nje ya ndoa wanaolelewa hukooo... Lakini nyie akina Mamndenyi watoto wa nje wa ndoa mnawalea ndani ya ndoa...Hata mke wa ndoa anaweza kukusaliti kuliko hata hiyo nyumba ndogo unayoisema;
Familia nyingi tu zina watoto wa nje ya ndoa; huu siyo zaidi ya usaliti ni nini.
Kumiliki nako kuna gharama zake tena mara kumi zaidi ya kumiliki ndo maana kuna watu saa ingine wanakufa vifo vya ghafla kisa kafumania nyumba ndogo halafu ikamtoa baru uuuuwiii inauma mnoalipoamua kua nyumba ndogo nt necessary alikosa wa kumuoa so usitake mbadilisha mawazo yake juu ya ndoa kwani alihitaji uhuru , kumilikiwa napo kuna gharama zake
Atiii....???????hhaaaa mbona hukunisabahi sasa...........
Napita, endeleeni kulishana mambo ya kishetani - MTAMJUA MUNGU LINI?
Kumiliki nako kuna gharama zake tena mara kumi zaidi ya kumiliki ndo maana kuna watu saa ingine wanakufa vifo vya ghafla kisa kafumania nyumba ndogo halafu ikamtoa baru uuuuwiii inauma mnoalipoamua kua nyumba ndogo nt necessary alikosa wa kumuoa so usitake mbadilisha mawazo yake juu ya ndoa kwani alihitaji uhuru , kumilikiwa napo kuna gharama zake
...kweli mpenzi kuna mambo yalinibana......im doing gud....miss u toonlikumis mbona kama ulipotea vilee! Btw mzma wewe?
Usaliti kwenye ndoa imekuwa kitu cha kawaida mno, Wapo wengi mno wamepangishia vimada chumba, au nyumba nzima sasa hufikia penzi likanoga mpaka watu wakataliki wale zao au waume zao wa ndoa ili akaoe au akaolewe na nyumba ndogo, lakini bahati mbaya hukuta maumivu kwakuwa yule alikuwa ni mwizi na anajua kwa vyovyote ukiingia kwake hatakubali naye aibiwe...mara nyingi hutokea ugomvi na kutokuelewana mara kwa mara mifano ipo mingi sana lakini inatosha tu kusema iache nyumba ndogo ibaki kuwa nyumba ndogo kwakuwa Once a cheater always a cheater
Kuna nyumba ndogo nyiiingi zinahudumiwa na wapenzi zaidi ya wa3, utakuta kodi kalipa huyu, sofa kanunua yule, friji kanunua mwingine nk nk? nk na wote hamjuani
Usaliti kwenye ndoa imekuwa kitu cha kawaida mno, Wapo wengi mno wamepangishia vimada chumba, au nyumba nzima sasa hufikia penzi likanoga mpaka watu wakataliki wale zao au waume zao wa ndoa ili akaoe au akaolewe na nyumba ndogo, lakini bahati mbaya hukuta maumivu kwakuwa yule alikuwa ni mwizi na anajua kwa vyovyote ukiingia kwake hatakubali naye aibiwe...mara nyingi hutokea ugomvi na kutokuelewana mara kwa mara mifano ipo mingi sana lakini inatosha tu kusema iache nyumba ndogo ibaki kuwa nyumba ndogo kwakuwa Once a cheater always a cheater
Kuna nyumba ndogo nyiiingi zinahudumiwa na wapenzi zaidi ya wa3, utakuta kodi kalipa huyu, sofa kanunua yule, friji kanunua mwingine nk nk? nk na wote hamjuani