Ndio maana twasema kuna kazi zatakiwa zitangazwe, wao waite watu.Rafiki angu mmoja alianza kama Uvccm mpaka leo nae yupo huko. Hua nampima vitu vidogovidogo tu vya uelewa ila ni mweupe. Uchawa na Ccm ni janga la taifa.
Kuna jamaa fulani nilishangaa naye yumo, kisa baba yake yumoKuna vitu vinafanywa usiri wakati hajikutakiwa kuwa vya siri, na usiri huu unaofanywa unakuta ni terget tu ya kuweka watu wao wanaowataka, na ndo maana tunapata watu wasio na weledi na wenye IQ ndogo sana kiutendaji yawezekana ni mkakati tu wa mtu. Kinachotakiwa watangaze nafasi za kazi watu waombe lakini mchakato wa kuwachukua waliokidhi vigezo ndo ufanyike kwa siri.
🐒Rafiki angu mmoja alianza kama Uvccm mpaka leo nae yupo huko. Hua nampima vitu vidogovidogo tu vya uelewa ila ni mweupe. Uchawa na Ccm ni janga la taifa.
Hapa Tanzania hatuna usalama wa taifa tunamakachero uchuro. Wanajua kufuatilia sana mtu akitukana kiongozi mpuuzi ila sio kufuatilia uhalifu unaohatarisha usalama wa taifa.Rafiki angu mmoja alianza kama Uvccm mpaka leo nae yupo huko. Hua nampima vitu vidogovidogo tu vya uelewa ila ni mweupe. Uchawa na Ccm ni janga la taifa.
Broo nimekuambia achana nao hao kaka hawana inshu tufanye yetu na kila mmoja wao muulize kwenu wapi utasikia 'Dar 'yaan ata kama anakidongo cha kasulu miguuni
Samahani mkuu naomba kukuuliza kama ulishawahi kuwa shoga au wewe bado ni shoga?Wale mashoga wa Kahama na Babati wamefundishwa na Wamarekani?
Ukimwi ukipotaka kuwamaliza miaka ya 1990's si ilikuwa tabia yenu ya kutomb....hovyo mpaka mkasaidiwa ARVs ilisababishwa na ushoga wa marekani?
Ushoga mfanye wenyewe kwa ujinga wenu then mje msingizie wamarekani?Samahani mkuu naomba kukuuliza kama ulishawahi kuwa shoga au wewe bado ni shoga?
Swali langu mbona dogo tu? wewe ni shoga au umeshaacha?Ushoga mfanye wenyewe kwa ujinga wenu then mje msingizie wamarekani?
🤣🤣🤣Swali langu mbona dogo tu? wewe ni shoga au umeshaacha?
Usizunguke sana basi
-Wenye nchi ni WA Tanzania woteUsalama taifa mnavyowachukulia mnawapaisha sana.
Hao hadi polisi wana hadhi ya juu kimamlaka, hao ni watumwa wa ikulu na rais aliyepo madarakani.
Ila kiutendaji wapo kila kona.
Wenye nchi yao ni hayo majamaa ya bakabaka ndiyo yaliyopewa nguvu ya ulinzi wa nchi.
Madogo wa usalama wanatishia sana raia wema.