Usipozini ujanani utapata Tabu uzeeni

Ukisema kuwa nitubu nikiwa mzee alafu Mungu akanichukua ningali kijana, nitafaidikaje?
Tatizo lako umegoma kwenda ibadani kutolewa mapepo yako, sie wengine tunasubiria starehe yetu huko mbinguni ya kuimba na kunywa maziwa na asali.
 
Wadogo zangu “kama huna uhakika wa kutunza mtoto & familia kuwa na discipline katika ujana wako”, watu wasiteseke kwa makosa yetu..Mungu atumiminie subira na kutusimamisha imara
Niliposoma hii, nikajiuliza: ww ni mwandishi wa vitabu?? Mana hii ilitakiwa iwe quote from a book ambacho ni bestseller (take it frm me!)

Nikajiulza km ww ni wakiume au wa kike...afu nikajinenea mm mwenyewe ili nikidh matakwa yangu, nikasema...km ww uleandika hii reaction niwakiume...basi nakuomba umsubir mwanangu akue nkuozeshe

Maneno yko hayaweze kutoka from a cheap, irresponsible piece of sh*t
#Nimei screenshot hii kwa heshma yko mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I appreciate [emoji106]
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…