mtotomtamuu
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 602
- 1,463
Eeeh, nirudi nifanye nini kama kazi huwezi. Hata kama nimeshakula hela. Yako kiasi gani siwezi rudi na siwez endelea kutumia hela yako cz huitendei haki naona ntakuwa kama mwizi tu, wanawake tunahitaji kushuhulikiwa kweli kweli sio dk 30 tu mkaka upo hoi eti umechoka hasa wanaume wa dar ndio zenu, na mtaendelea kuchapiwa na wanaume wa mkoa msipojiongeza.