Usipohonga yakikukuta usilalamike

Totally hatuelewani Elli79 ndio maana hata mitazamo yetu ipo tofauti kidogo ndio maana nasema sio wanaume wote wapo sawa na ndio maana kuna wengine wanakuwa treated hivyo na wake zao kama mleta mada asemavyo kutokana na tabia zao za kiskafunje, yet kusaidiana katika mahusiano ipo sikatai but still mwanaume unatakiwa usimame kama mwanaume, hii convo ingekua uso kwa uso najua ungenielewa vizuuuri nini nasema
 
Last edited by a moderator:
Mpwa wangu Eli79 unaniuzia kesi huku ujue.....hebu njoo fasta
 
Last edited by a moderator:

Asante mama kwa kufafanua vizuri, waambieeee👌👌👌👌mwanaume mwenye mkono mfupi ni mwiko kwangu, yet unamkuta anazungusha round kwa watu na kuhonga vimada nyumbani kumtegea mkewe, Mungu niepushe na wa aina hii wakae mbali na mimi
 
Njoo kiembe mbuzi tupige za uso kwa uso #joke !!!
Again, it's your fault kudate na mtu wa tabia hiyo. Na utakuta wengi wenu mnaishia kulalamika tu but you take zero action. Kuna bidada unlucky analalamika since 2011 jamaa keshamtotolesha watatu na bado ananyanyaswa, anaomba ushauri since 2011...whose fault do you think??
 
Last edited by a moderator:
Eti utanipa wakati wa kutafuta mtoto. Kaa nacho au urudu kwenu.:msela:
 
We bidada, unaongelea mtu MUME? Au ni MWANAUME tu mnaishi nae...ujue kuna tofauti hapo eeh..!
 

Am not complaining my broda coz wakati natoa sikutaka arudishe in anyway, trust me am good at taking actions tena at times quick actions I have zero torelance kwenye ujinga nataka tu ukubali kuna wanaume wategezi kwenye majukumu
Kuhusu huyu dada angu unlucky binafsi huwa ananipa hasira siwezi kuongeza neno hapo nisijeibua emotions za watu
 
Last edited by a moderator:
We bidada, unaongelea mtu MUME? Au ni MWANAUME tu mnaishi nae...ujue kuna tofauti hapo eeh..!

Mbona kaka mnaanza kujigawa ghafla kha! mwanaume na Mume wote si mnasimamisha? wote mnazalisha? ok nazungumzia yule aliyeoa anayejua mshenga, mahali inatolewaje, na anajua akifanya hayo kinachofuata ni kuingia kwenye majukumu lakin anajikwepesha kwepesha. sasa wew unisaidie huyo ni Mwanaume au Mume
 
Tofauti ya kuishi na mwanaume mmeokotana tu huko bar na yule mliyeokotana huko na akaja home na kutambulika ni kubwa bidada..! anyways, nimekuelewa sawia..!
 
50 by 50 mnaitaka afu mnalalamika.... Vumilia timiza majukumu
 
Ww naona hujisomi...
Sa ndoa ya nin kwako? Ikiwa mtoto unaweza kupata pasipo ndoa.
Kaa fikiria, then chukua hatua...
Ikiwa uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo, bx nakupa pole yako.

Kwa ushauri tu, what you think is totally wrong™
 
Mm nadhani kusaidiana haina shida kama mtu una kazi basi toa support ila kinachosikitisha ni pale ambapo mwanamke anasaidia lakini mwanaume hana upendo na pengine anachepuka nje hapo ndio kuna tatizo lakini sio kisa hana hela au anasaidiwa na mke basi avuliwe ubaba katika familia
 

Wanawake hawajaanza kufanya kazi leo,tangu zamani wanafanya kazi. Tujiulize je,pesa yao au mapato yao walikuwa wanapeleka wapi?

Je,matumizi ya pesa ya mwanamke aliyeolewa ni yapi?

Kama huu ndiyo mtazamo wa wanawake wa kizazi hiki,je mwanamke akiwa na mshahara mkubwa kuliko mumewe ina maana amdharau mumewe?

Haya ndiyo madhara ya sentesi kama hii SOMA MWANANGU USIJE UKANYANYASWA NA MUMEO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…