kichomiz JF-Expert Member Feb 28, 2011 19,013 11,950 Jan 4, 2017 #2 Huyo atakuwa sio mwanaume sasa,hako ka kimbau mbau anashindwaje kukabeba sasa?
KING 360 JF-Expert Member Jun 30, 2016 3,002 5,176 Jan 4, 2017 #3 Hahahaha kaamua asimame tu aangalie wenzake wanavyobeba wake zao kama vitoto
MAPOUDA JF-Expert Member Mar 3, 2013 446 294 Jan 4, 2017 #4 salaniatz said: Click to expand... Wanaume wa dar
jembe afrika JF-Expert Member Jan 15, 2014 7,604 3,753 Jan 4, 2017 #5 Wanaume wa Dar masikini chips zinawamaliza
jembe afrika JF-Expert Member Jan 15, 2014 7,604 3,753 Jan 4, 2017 #6 Unakuta hapo mchana kala chipsi mayai na maji ya 50
Kisu Cha Ngariba JF-Expert Member Jun 21, 2016 22,137 48,808 Jan 4, 2017 #11 Mama kavimba nyuma na mbele.
Totos Boss JF-Expert Member Dec 30, 2012 5,456 1,565 Jan 4, 2017 #12 Sio aibu asishindwe chumbani tu.
kamdudu JF-Expert Member Jan 20, 2015 2,007 1,916 Jan 4, 2017 #13 jembe afrika said: Unakuta hapo mchana kala chipsi mayai na maji ya 50 Click to expand...
kamdudu JF-Expert Member Jan 20, 2015 2,007 1,916 Jan 4, 2017 #14 kisu cha ngariba said: Mama kavimba nyuma na mbele. Click to expand...
Good Father JF-Expert Member Feb 28, 2014 10,276 18,353 Jan 4, 2017 #15 Hahahaaa tembo ashindwi na pembe lake, ningekomaa siwezi kukubali kuonekana mdhaifu mbele ya mke wangu NEVER. Hata siku nikichokozwa mbele ya wife ntageuka mbogo, ntakayofanya utahisi nina black belt kumbe hata sijawahi kwenda China
Hahahaaa tembo ashindwi na pembe lake, ningekomaa siwezi kukubali kuonekana mdhaifu mbele ya mke wangu NEVER. Hata siku nikichokozwa mbele ya wife ntageuka mbogo, ntakayofanya utahisi nina black belt kumbe hata sijawahi kwenda China
Mwana JF-Expert Member Aug 6, 2010 5,440 1,962 Jan 5, 2017 #16 Angembeba tu hata angeanguka potelea mbali ili mradi kaonyesha mahaba!
Kalamu Yangu JF-Expert Member Dec 21, 2016 1,093 1,027 Jan 5, 2017 #18 Totos Boss said: Sio aibu asishindwe chumbani tu. Click to expand... Na hilo ndilo huingia katika yale mahitaji muhimu ya kila kiumbe. Dunia Uwanja wa Fujo
Totos Boss said: Sio aibu asishindwe chumbani tu. Click to expand... Na hilo ndilo huingia katika yale mahitaji muhimu ya kila kiumbe. Dunia Uwanja wa Fujo
Kingsharon92 JF-Expert Member Aug 10, 2015 7,556 9,531 Jan 5, 2017 #19 Babu alikuwa anapenda kusema Huo ni uzembe kazini
KANYAMA JF-Expert Member Aug 7, 2011 1,482 2,274 Jan 5, 2017 #20 bigmind said: Mimi namtia mgongoni..! Click to expand... Avatar yako inasapoti unachomaanisha mkuu