USIOMBE YAKUKUTE

Salahan

JF-Expert Member
Sep 10, 2014
2,941
3,599
beef72e135025a84af316b0472d178b6.jpg
 
Huyo atakuwa sio mwanaume sasa,hako ka kimbau mbau anashindwaje kukabeba sasa?
 
Hahahaha kaamua asimame tu aangalie wenzake wanavyobeba wake zao kama vitoto
 
Hahahaaa tembo ashindwi na pembe lake, ningekomaa siwezi kukubali kuonekana mdhaifu mbele ya mke wangu NEVER.
Hata siku nikichokozwa mbele ya wife ntageuka mbogo, ntakayofanya utahisi nina black belt kumbe hata sijawahi kwenda China
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom