Mkuu mwanamke anajileta analala akutege kwa ujasiri bila aibu, nawe una uvaa mkenge 😱.
Kwa ujasiri alioufanya huyo mwanamke ulitakiwa ushtuke na umpeleleze zaidi.
Pole sana mkuu huku maofisini ni kuwa waangalifu sana kihalisi jiepushe sana mazoea na jinsia na tofauti ni rahisi sana kwenda ktk mapenzi.......ndicho nachokiona hata mimi kazini...pole sana kumaliza hilo ni mama wa watoto wako kumvuta uishi nae Tanga
Kupitia somo lako hope wengi watajifunza, jambo hili ni common sana kwa maisha ya sasa ambapo ajira zinachangia kutenganisha wazazi, ntakushauri nikipata muda ila cha kwanza acha Tamaa ya zinaa
Ni kweli kabisa umbali unachangia,kuna wakati nafikiri kama ningekaa na mke wangu majanga haya yasingenifika,loop hole ya ukaribu sana isingekuwepo kabisa!!
Mimi nina kisa changu kiasi flani kinataka kufanana na chako. Nikiamua kukielezea hapa jukwaa litasimama.
Ni historia ambayo imenifanya niyaone mapenzi yanaweza kuleta huzuni kubwa sana. Unajikuta upo katikati na kila mtu anakuhitaji na unashindwa umchukue yupi umwache yupi. Acha kabisa.
Self harm is one sign of mental health disorders, normally is done for attention seeking but is more likely to develop to suicide if is not controlled.
Mimi si mtaalamu wa magonjwa ya akili lakini hilo ulilo nalo hapo ni bomu litalipuka saa yeyote.