anold mganga na bushland,
mm hadi kufanikiwa nlikua nshafanya jumla ya aplic. 250, na interview 15, na ni ndani ya mwaka na nusu toka ni graduate sema nlikua nafanya shuguli za ulinzi ili npate hela ya aplication na ya kunweka mjini, so nlikua naingza kama 230000 per month, so tafta kazi yoyote ufanye huku unatafta kazi ya maana ila tatzo la vijana wengi ni mabishoo
Njoo tulime ni pm
Hilo neno vijana wanachagua kazi kazI zipo ambazo unaweza ukafanya kwa malengo baadae ukapata kazi huipendayo lakini wao wanataka moja kwa moja wapate kazi nzuri yenye maslahi mazuri halafu wakipata hizo kazi wanajisahau
Asante Sana kwa kunitia moyo, mtu ukikosa ajira au kipato cha unakika maisha unayaona magumu kabisa
Asante Sana kwa kunitia moyo, mtu ukikosa ajira au kipato cha unakika maisha unayaona magumu kabisa
Mkuu kwani umesoma kozi gani?...maana kwanza angalia ulichokisomea hapo unaweza fanya vitu vingi sana, mfano kama umesomea masoko unaweza kuja na strategy nzuri ya kuboresha masoko au wewe mwenyewe ukaingia field kujishughulisha na masoko, kama umetoka bush mazao ndo mengi unaweza tafuta watu wasiofika vijijini na wa mjini kufanya shughuli za masoko, kama umesoma sheria elimisha watu juu ya haki zao either kibiashara, saidia watu katika mashauri waliyo nayo, kama umesoma I.T fikiria jinsi gani I.T inaweza boresha biashara za watu lakini sio swala la kutengeneza inventory maana kuna inventory nyingi ambazo ni overpriced na haziko realistic, luna vitu vingi sana vya kufanya mind you lazima ukubali kuanza chini, kupata hela kidogo na saa zingine kukosa kabisa akili yako ikiwa hivyo mbona utafanikiwa tu kuajiriwa hakuna dili ila kama unaona kuajiriwa kutakutoa basi tafuta namna ambayo itakavyo weza kufanikisha ndoto yakoAu toa knowledge ya jins wanavyoweza kutumia elimu zao kufanikisha self employment maana hakuna mwanadamu asiye pitia hali hiyo ngumu ya mateso ya ajira japo kunawengine fresh from school straight forward ajira tena zenye masilahi makubwa ukifuatilia wazee wao wana link na viongozi au ni viongozi lakini watoto wawakulima wanapata ajira kwa taabu kama ni mwanaume mapaka atoe pesa kama ni bint duh yaani hapo Mungu aingilie kati....