bushland
JF-Expert Member
- Mar 6, 2015
- 7,015
- 4,997
- Thread starter
- #21
Mkuu kwani umesoma kozi gani?...maana kwanza angalia ulichokisomea hapo unaweza fanya vitu vingi sana, mfano kama umesomea masoko unaweza kuja na strategy nzuri ya kuboresha masoko au wewe mwenyewe ukaingia field kujishughulisha na masoko, kama umetoka bush mazao ndo mengi unaweza tafuta watu wasiofika vijijini na wa mjini kufanya shughuli za masoko, kama umesoma sheria elimisha watu juu ya haki zao either kibiashara, saidia watu katika mashauri waliyo nayo, kama umesoma I.T fikiria jinsi gani I.T inaweza boresha biashara za watu lakini sio swala la kutengeneza inventory maana kuna inventory nyingi ambazo ni overpriced na haziko realistic, luna vitu vingi sana vya kufanya mind you lazima ukubali kuanza chini, kupata hela kidogo na saa zingine kukosa kabisa akili yako ikiwa hivyo mbona utafanikiwa tu kuajiriwa hakuna dili ila kama unaona kuajiriwa kutakutoa basi tafuta namna ambayo itakavyo weza kufanikisha ndoto yako
Nina diploma ya sheria