Usiombe ufumaniwe

Usiombe ufumaniwe

Badala utoke hapo mlangoni ukimbie wewe bado unawaza mama James sasa ngoja wafungue huo mlago wakukute na boxer yako Kama haijawa vipandevipande
 
Mhhh....mimi ukimalizia kuwa ulishiaa kudakwa na kuraruliwa marinda yote na Baba James nitaamini stori yako kuwa ni ya kweli kabisa.
ila ukimaliza na kusema kuwa ulifanikiwa kutoka na uka save kuliwa ndogo, utakuwa muongo na mzandiki.
 
Nimechekaa.... Aisee umetisha .....chupi ulidhani no hengachif.. Hahahaaaaa!
 
Back
Top Bottom