Usiombe ufikie hali hii

Usiombe ufikie hali hii

Muuza simu used

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
4,393
Reaction score
7,101
Ukiona hadi umefikia hatua ya kusoma vitabu na kukesha social media kujifunza ni jinsi gani inakupasa au utumie njia gani kumpenda mkeo ujue unahitaji operation ya Moyo wahi india fasta
 
Kusoma kuna ongeza maarifa hivyo ni borw ukasoma vitabu vya mapenzi ili ujifunze mbinu mpya za mapenzi maana wahenga walisema ufundi kuzidiana, Mimi na mume wangu tukipata utulivu chumbani hujisomea vijarida vya mapenzi ili tujiboreshe zaidi
 
Penzi Maua...Penzi upepo...Kama kuingia kwenye Safina ya Nuhu, tutabanana wawili wawili-mume na mke..Hilo ndilo kusudio la Mwenyezi Mungu-TUWE MWILI NA KIVULI.
 
Naona sera yako ni mapenzi ya vitabu.....!
Chukua ujuzi usihofu
 
Vitabu ni nadharia tuu ingia katika matendo yenyewe tenda utendwe karma is a bitch
 
Ukiona hadi umefikia hatua ya kusoma vitabu na kukesha social media kujifunza ni jinsi gani inakupasa au utumie njia gani kumpenda mkeo ujue unahitaji operation ya Moyo wahi india fasta
Mkuu....
Ukiishi na mke kwa akili, kamwe hauto fikia hatua mbaya na mbovu kiasi cha kutishia ama kugharimu uhai wako
 
kim pyong yang umegonga modo,da umetokelezea!
😀😀😀 comment imenifanya nicheke maana imenifanya nirudi kuangalia avatar ya mr kim pyong yang ila kapendezaaa
 
Back
Top Bottom