Usiombe hili likakukuta

Usiombe hili likakukuta

Poleni sana kwa yanayokukuta , ndiyo maana napenda sana life style ya jirani yangu hapa na wife wake wanatafuta pamoja na kutumia pamoja hakuna outing ya mmoja mmoja.
 
laana?! Laana bongo? Tena kwa kizazi hiki cha nyoka? Ukitendwa na ukategemea laana basi ujue imekula kwako. Hapa ni jino kwa jino. Japo ulinifukuzia njiwa wangu Vaislay

hahahaa njiwa umeshindwa kumtega mwenyewe wasingizia mie
 
Last edited by a moderator:
duu poleee,ndio maana wanawake wengine kwenye ndoa anakuwa nafanya maendeleo ya pamoja na mumewe lakini pembeni pia anafanya mambo yake binafsi bila hata mwanaume kujua,ili yakitokea kama haya huadhiriki mjini
 
Hujatueleza kisa cha kukumwaga. Hapa unaeleza mapungufu ya upande mmoja tu.Kutafuta wote siyo lazima kwamba nawe unapaswa jiona uko juu yake. Lazima kuna sababu.

Well said, tatizo mtu akiachwa anakomalia lawama tu kwa X wake, bila kufikiria kwanini jamaa ametoka mbio, there should be something behind this..


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Namna hii ndo mana nawashauri wadogo zangu akina miss neddy kuwa bora mwanaume mwenye hela tu hata akikumwaga hujutii sana mana umefaidi.....unasota weee then matunda anakula peke yake

Umeonaa ee asavalii hivyoo
 
Last edited by a moderator:
mweke ngeu ya kumbukumbuuuuuuuuu
Aiii!Wala usimshauri mwenzio afanye ivyo!Ukute uyo jamaa ana maradhi yake ya siku nyingi, unamtia ngeu tu anaanguka chini na kufa!Kisa cha kunyea debe maisha yako nini?Amwache tu aende zake ila malipo yake atayalipa hapa hapa duniani kabla ya kufa
 
ha ha ha ha usiponimenton huoni raha heee.utatulipua kwa bomu la aina gani??
tulipue kwa hayo mbomu kisa lishindwa kumtongoza Vaislay
best miss neddy na my wii Dinazarde mnahitajika huku ashindwe yeye aseme sisi

Nimeona nasubiria muda atulipue akishindwaa tunamlipua siee au sio my wiiii
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom